bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 37
Genesis 37
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 36
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 38 →
1
Yakobo akakaa katika nchi hiyo, baba yake alikokaa ugenini, ndio nchi ya Kanaani.
2
Hivi ni vizazi vya Yakobo: Yosefu alipopata miaka 17, akachunga mbuzi na kondoo pamoja na kaka zake; huyu kijana Yosefu alipokuwa pamoja na wana wa Biliha nao wana wa Zilpa, wakeze baba yake, yeye Yosefu akamsimulia baba yao mambo yao mabaya.
3
Naye Isiraeli alimpenda Yosefu kuliko wanawe wote, kwa kuwa ni mwanawe wa uzee wake; kwa hiyo akamshonea kanzu ya nguo za rangi.
4
Kaka zake walipoona, ya kuwa baba yao alimpenda kuliko ndugu zake, wakamchukia, hawakuweza kusema naye kwa upole.
5
Kisha Yosefu akaota ndoto, akawasimulia kaka zake; ndipo, walipozidi kumchukia,
6
kwani aliwaambia: Isikieni ndoto hii, niliyoiota!
7
Nimeona, sisi tulikuwa shambani tukifunga miganda; mara mganda wangu ukainuka, ukasimama, nayo miganda yenu ikauzunguka, ikazungukia mganda wangu.
8
Ndipo, kaka zake walipomwambia: Je? Unataka kuwa mfalme wetu, ututawwale? Wakazidi kumchukua sana kwa ajili ya ndoto zake na kwa ajili ya maneno yake.
9
Akaota tena ndoto nyingine, akaisimulia nayo kaka zake akiwaambia: Tazameni! Nimeota ndoto nyingine, nikaona, jua na mwezi na nyota kumi na moja zikiniangukia.
10
Alipomsimulia baba yake nao kaka zake ndoto hizi, baba yake akamkemea, akamwambia: Hiyo ndoto yako, uliyoiota, ni ndoto gani? Je? mimi na mama yako na kaka zako tuje, tukuangukie chini?
11
Ndipo, kaka zake walipomwonea wivu, lakini baba yake akayashika maneno hayo na kuyaangalia.
12
Kisha kaka zake walipokwenda kuwachnga mbuzi na kondoo wa baba yao huko Sikemu,
13
Isiraeli akamwambia Yosefu: Kumbe kaka zako hawako Sikemu wakichunga mbuzi na kondoo? Haya! Nikutume kwenda kwao! Akamwitikia: Mimi tayari.
14
Akamwambia: Nenda kuwatazama kaka zako, kama hawajambo, nao mbuzi na kondoo, kama hawajambo! Kisha uniletee habari! Akamtuma kutoka bondeni kwa Heburoni kwenda Sikemu.
15
Ndipo, mtu alipomwona, alipokuwa amepotelewa na njia porini, naye yule mtu akamwuliza: Unatafuta nini?
16
Akasema: Ninawatafuta kaka zangu; niambie, wanakochungia mbuzi na kondoo!
17
Yule mtu akasema: Wameondoka huku, kwani naliwasikia, wakisema: Na twende Dotani! Basi, Yosefu alipowafuata kaka zake akawaona Dotani.
18
Nao walipomwona, angaliko mbali, wakafanya shauri la kumwua, alipokuwa hajafika kwao,
19
wakasemezana: Mtazameni Chandoto! Huyu, anakuja!
20
Sasa haya! na tumwue! Kisha tumtupe shimoni mo mote, tuseme: Nyama mkali amemla! Ndipo, tutakapoona, ndoto zake zitakavyotimia.
21
Rubeni alipoyasikia alitaka kumponya mikononi mwao, akawaambia: Tusimwue!
22
Kisha Rubeni akawaambia: Msimwage damu yake! Mtupeni humu shimoni huku nyikani! Lakini msimwue kwa kumpelekea mikono! Naye alisema hivyo, apate kumponya mikononi mwao, amrudishe kwa baba yake.
23
Ikawa, Yosefu alipofika kwa kaka zake, wakamvua kanzu yake, maana aliivaa ile kanzu ya nguo za rangi;
24
kisha wakamchukua, wakamtumbukiza katika shimo, nalo hilo shimo lilikuwa halina maji.
25
Kisha wakakaa, wale chakula. Walipoyainua macho yao kutazama, mara wakaona msafara wa Waisimaeli waliotoka Gileadi wenye ngamia waliochukua manukato na mafuta ya mkwaju na uvumba, nao walikwenda kuvipeleka Misri.
26
Ndipo, Yuda alipowaambia ndugu zake: Haifai, tukimwua ndugu yetu na kuificha damu yake;
27
haya! na tumwuze kwa hawa Waisimaeli, tusimpige kwa mikono yetu! Kwani ni ndugu yetu, tuliyezaliwa naye. Nao ndugu zake wakamwitikia.
28
Basi, hao wachuuzi wa Midiani walipopita, wakamwopoa Yosefu na kumtoa mle shimoni, wakamwuza Yosefu kwao hao Waisimaeli kwa fedha 20, nao wakampeleka Yosefu Misri.
29
Rubeni aliporudi hapo shimoni, akaona, ya kama Yosefu hayumo; ndipo, alipozirarua nguo zake,
30
akarudi kwa ndugu zake, akawaambia: Mtoto hayumo, mimi nami niende wapi?
31
Kisha wakaichukua kanzu ya Yosefu, wakachinja dume la mbuzi, wakaichovya hiyo kanzu katika damu yake.
32
Kisha wakaituma hiyo kanzu ya nguo za rangi kumpelekea baba yao, wakamwambia: Nguo hii tumeiokota; itazame, kama ndiyo kanzu ya mwanao, au kama siyo!
33
Akaitambua, akasema: Ni kanzu ya mwanangu! Nyama mkali amemla, Yosefu ameraruliwa kweli!
34
Ndipo, Yakobo alipozirarua nguo zake, akavaa gunia kiunoni, akamwombolezea mwanawe siku nyingi.
35
Wakainuka wanawe wote wa kiume nao wote wa kike, wamtulize moyo, lakini akakataa kutulizwa moyo akisema: Nitashuka mwenye ukiwa huko kuzimuni, mwanangu aliko. Ndivyo, baba yake alivyomlilia.
36
Wale Wamidiani wakamwuza huko Misri kwa Potifari aliyekuwa mtumishi wa nyumbani mwa Farao na mkuu wao waliomlinda Farao.
← Chapter 36
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 38 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50