bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 7
Genesis 7
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 8 →
1
Bwana akamwambia Noa: Ingia chomboni wewe na mlango wako wote! Kwani nimekuona kuwa mwongofu machoni pangu katika kizazi hiki.
2
Namo miongoni mwao nyama wote wa nyumbani wanaotakata jichukulie saba saba, mume na mkewe, nao nyama wa nyumbani wasiotakata chukua wawili wawili tu, mume na mkewe!
3
Nao ndege wa angani chukua saba saba wa kiume na wa kike, niwaponye wa kuzaa katika nchi yote nzima.
4
Kwani ziko bado siku saba, ndipo, mimi nitakaponyesha mvua siku 40 mchana kutwa na usiku kucha, niwatoweshe katika nchi yote nzima wote pia wanaosimama bado, niliowaumba mimi.
5
Noa akayafanya yote, kama Bwana alivyomwagiza.
6
Naye Noa alikuwa mwenye miaka 600 hapo, mafuriko ya maji mengi yalipokuwa juu ya nchi.
7
Noa akaingia chomboni pamoja na wanawe na mkewe na wake wa wanawe, mafuriko ya maji yalipokuw hayajawa bado.
8
Nao nyama wanaotakata nao wasiotakata nao ndege nao wote wanaotambaa katika nchi,
9
wakaingia wawili wawili chomboni mwake Noa, wa kiume na wa kike, kama Mungu alivyomwagiza Noa.
10
Ikawa, zile siku saba zilipokwisha pita, mafuriko ya maji yakawa juu ya nchi.
11
Katika mwaka wa 600 wa siku zake Noa katika mwezi wa pili siku ya kumi na saba ya mwezi siku hiyo ndipo, chemchemi zote za vilindi vikuu zilipobubujika, nayo madirisha ya mbinguni yakafunguliwa,
12
mvua ikanyesha katika nchi siku 40 mchana kutwa na usiku kucha.
13
Siku ileile Noa akaingia chomboni, na Semu na Hamu na Yafeti, wanawe Noa, na mkewe Noa, nao wake watatu wa wanawe pamoja nao.
14
Tena pamoja nao nyama wote wa porini wa kila namna nao nyama wote wa nyumbani wa kila namna na wadudu wote wanaotambaa katika nchi wa kila namna na wote walioweza kuruka wa kila namna na ndege wote nao wote wenye mabawa;
15
wakaingia chomboni kwake Noa wawili wawili miongoni mwao wote wenye miili walio na pumzi za uzima.
16
Miongoni mwao hao wote wenye miili wakaja mume na mke, wakaingia kwake, kama Mungu alivyomwagiza. Kisha Bwana akamfungia.
17
Basi, yakawako mafuriko ya maji siku 40 juu ya nchi; maji yalipokuwa mengi yakakieleza kile chombo, kikawa juu ya nchi.
18
Hayo maji yakakaza kuwa yenye nguvu, yakawa mengi sana juu ya nchi, nacho kile chombo kikaelea juu ya maji.
19
Hayo maji yalipokaza kuwa yenye nguvu yakapanda, yakapanda juu ya nchi, mpaka ikifunikizwa milima mirefu yote iliyokuwako chini ya mbingu;
20
hayo maji yakaipita juu mikono 15; ndivyo, milima ilivyofunikizwa.
21
Ndipo, walipokufa wote wenye miili wao waliotembea katika nchi: ndege na nyama wa nyumbani na nyama wa porini na wadudu wote waliotambaa katika nchi, nao watu wote.
22
Wote pia waliovuta puani mwao pumzi za roho yenye uzima, miongoni mwao wote waliokaa pakavu wakafa.
23
Ndivyo, alivyowatowesha wote waliosimama juu ya nchi kuanzia watu, tena nyama na wadudu nao ndege wa angani, walitoweshwa wote katika nchi, akasalia Noa peke yake pamoja nao waliokuwa naye mle chomboni.
24
Nayo hayo maji yakakaza kuwa yenye nguvu zizo hizo juu ya nchi siku 150.
← Chapter 6
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 8 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50