bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 16
Genesis 16
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 15
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 17 →
1
Sarai, mkewe Aburamu, hakumzalia mwana. Naye alikuwa na kijakazi wa Kimisri, jina lake Hagari.
2
Kwa hiyo akamwambia Aburamu: Unaona, ya kuwa Bwana amenifunga, nisizae; sasa ingia kwa kijakazi wangu! Labda nitapata mlango kwake yeye. Aburamu akayaitikia, Sarai aliyoyasemaa.
3
Kisha Sari, mkewe Aburamu, akamchukua Hagari, kijakazi wake wa Kimisri, akampa mumewe Aburamu kuwa mkewe, Aburamu naye alikuwa amekwisha kukaa miaka kumi katika nchi ya Kanaani.
4
Alipoingia kwake Hagari, huyu akapata mimba; naye alipojiona kuwa mwenye mimba akambeua bibi yake, awe mdogo machoni pake.
5
Ndipo, Sarai alipomwambia Aburamu: Mabaya ninayofanyiziwa na yakujie wewe! Mimi nimemweka kijakazi wangu kifuani pako; naye alipojiona kuwa mwenye mimba hunibeua, niwe mdogo machoni pake. Bwana na atuamulie mimi na wewe!
6
Naye Aburamu akamwambia Sarai: Tazama, kijakazi wako yumo mkononi mwako! Mfanyizie yaliyo mema machoni pako! Lakini Sarai alipomnyenyekeza, akatoroka usoni pake.
7
Malaika wa Bwana akamwona nyikani penye kisima cha maji, ndicho kisima kilichoko katika njia ya Suri.
8
Akasema: Hagari, kijakazi wa Sarai, unatoka wapi? Tena unakwenda wapi? Akasema: Nimetoroka, nitoke usoni pake bibi yangu Sarai.
9
Ndipo, malaika wa Bwana alipomwambia: Rudi kwa bibi yako na kuunyenyekea mkono wake!
10
Malaika wa Bwana akamwambia tena: Wao wa uzao wako nitawafanya kuwa wengi, wasihesabike kwa wingi.
11
Malaika wa Bwana akaendelea kumwambia: Ninakuona kuwa mwenye mimba. Mwana, utakayemzaa, mwite jina lake Isimaeli (Mungu husikia), kwa kuwa Bwana amekusikia, ulipomlalamikia kwa kuteseka.
12
Naye atakuwa mwenye ukali kama punda wa porini, mkono wake utawapingia watu wote, nayo mikono yao wote itampingia yeye, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
13
Ndipo, alipomwita Bwana aliyesema naye jina lake: Wewe Mungu unaniona, kwani alisema: Kumbe nami nimemwona, aliponitazama.
14
Kwa hiyo kile kisima watu hukiita Kisima cha Mwenye Uzima Anionaye, nacho kiko katikati ya Kadesi na Beredi.
15
Kisha Hagari akamzalia Aburamu mtoto mume, naye Aburamu akamwita huyu mwana, Hagari aliyemzaa, jina lake Isimaeli.
16
Naye Aburamu alikuwa mwenye miaka 86, Hagari alipomzalia Aburamu huyu Isimaeli.
← Chapter 15
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 17 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50