bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 23
Genesis 23
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 22
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 24 →
1
Siku zake Sara za kuwapo zilipopata miaka 127, hii miaka ya kuwapo kwake ilipotimia,
2
Sara akafa huko Kiriati-Arba, ndio Heburoni, katika nchi ya Kanaani; ndipo, Aburahamu alipoingia nyumbani kumwombolezea na kumlilia.
3
Kisha Aburahamu akaondoka kwa mfu wake, akasema na wana wa Hiti kwamba:
4
Mimi ni mgeni anayejikalia tu kwenu, nipeni kwenu mahali pa kaburi, pawe pangu, nipate kumzika mfu wangu aliomo nyumbani kwangu!
5
Nao wana wa Hiti wakamjibu Aburahamu kwamba:
6
Tusikie, bwana wetu! Wewe u mkuu wa Mungu kwetu; mzike mfu wako katika kaburi lo lote la kwetu, utakalolichagua! Hakuna mtu wa kwetu atakayekunyima kaburi lake, kwamba usimzike mfu wako humo.
7
Ndipo, Aburahamu alipoinuka, akawainamia watu wa nchi hii, wao wana wa Hiti,
8
akasema nao kwamba: Roho zenu zikiitikia kwamba: Nimzike mfu wangu aliomo nyumbani mwangu, nisikilizeni, mniombee kwa Efuroni, mwana wa Sohari,
9
anipe lile pango lake la Makipela lililoko penye mwisho wa shamba lake! Akinipa, nitamlipa katikati yenu fedha zote pia za kulinunua, liwe mahali pangu mimi pa kuzikia.
10
Naye Efuroni alikuwa amekaa papo hapo katikati ya wana wa Hiti; ndipo, huyu Mhiti Efuroni alipomjibu Aburahamu masikioni pao Wahiti wote waliokuja hapo langoni penye mji wake kwamba:
11
Sivyo, bwana wangu. Nisikie! Hilo shamba ninakupa, nalo pango lililomo ninakupa, machoni pao hawa wana wa ukoo wangu ninakupa, upate kumzika mfu wako.
12
Ndipo, Aburahamu alipowainamia tena watu wa nchi hii,
13
akamwambia Efuroni masikioni pa watu wa nchi hii kwamba: Ungenisikia tu! Chukua kwangu hizi fedha za kulinunua shamba hilo, nitakazokupa, nipate kumzika mfu wangu huko!
14
Efuroni akamjibu Aburahamu kwamba:
15
Bwana wangu, nisikie tu! Shamba la fedha 400 ni kitu gani, tubishane mimi na wewe? Mzike tu mfu wako!
16
Aburahamu akamwitikia Efuroni; kwa hiyo Aburahamu akampimia Efuroni hizo fedha, alizozisema masikioni pao wana wa Hiti, fedha 400, wachuuzi walizozitumia, ndio shilingi 1600.
17
Basi, shamba la Efuroni lililokuwa huko Makipela mbele ya Mamure, hilo shamba lenyewe pamoja na lile pango lililokuwako, nayo miti yote ya hapo shambani iliyokuwako mipakani katika mipaka yake ya pande zote,
18
yote pamoja yakawa mali yake Aburahamu machoni pao wana wa Hiti wote waliokuja langoni penye mji wake.
19
Baadaye Aburahamu akamzika mkewe Sara katika hilo pango la shamba la Makipela lililoko mbele ya Mamure, ndio Heburoni, katika nchi ya Kanaani.
20
Ndivyo, hilo shamba pamoja na hilo pango lililoko lilivyotolewa kuwa mali yake Aburahamu, liwe mahali pake yeye pa kuzikia, likikoma kuwa lao wana wa Hiti.
← Chapter 22
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 24 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50