bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 6
Genesis 6
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 7 →
1
Watu walipoanza kuwa wengi katika nchi, nao wna wa kike walipozaliwa kwao,
2
nao wana wa Mungu walipowaona wana wa kike wa watu kuwa wazuri, wakajichukulia wake kwao wote, waliowachagua.
3
Ndipo, Bwana aliposema: Roho yangu haiwezi kubishana na watu kale na kale, kwani kwa hivyo, walivyopotea, mioyo yao imegeuka kuwa nyama tupu. Basi, siku zao na ziwe bado miaka 120.
4
Siku zile walikuwako katika nchi nao watu walio majitu; hata baadaye siku zote wana wa Mungu walipoingia kwao wana wa kike na watu, nao waliwazalia wana; hawa ndio wale wenye nguvu waliojipatia jina kuu tangu kale.
5
Bwana alipoona, ya kuwa ubaya wa watu ni mwingi katika nchi, nayo yote, waliyoyalinganya na kuyawaza mioyoni mwao, ni mabaya tu siku zote,
6
ndipo, Bwana alipojuta, akaumizwa sana moyoni mwake, ya kuwa aliwafanya watu wa kukaa katika nchi.
7
Kwa hiyo Bwana akasema: Nitawafuta watu, niliowaumba, watoweke katika nchi, wao watu nao nyama na wadudu na ndege wa angani, kwani ninajuta, ya kuwa niliwafanya.
8
Noa akapata upendeleo machoni pake Bwana.
9
Hivi ndivyo vizazi vyake Noa: Noa alikuwa mtu mwongofu mwenye kumcha Mungu miongoni mwao, aliozaliwa nao, kwani Noa alifanya mwenendo wa kushikana na Mungu.
10
Noa akazaa wana watatu: Semu, Hamu na Yafeti.
11
Nayo nchi ilikuwa imegeuka kuwa mbaya machoni pake Mungu, hiyo nchi ikijaa ukorofi.
12
Mungu alipoitazama nchi akaiona kuwa mbaya, kwani wote wenye miili walishika njia mbaya katika nchi.
13
Ndipo, Mungu alipomwambia Noa: Mwisho wao wote wenye miili umefika machoni pangu, kwani wameijaza nchi makorofi yao, kwa hiyo wataniona, nikiwaangamiza pamoja na nchi.
14
Jitengenezee chombo kikubwa sana cha miti ya mivinje! Humo chomboni ndani ukate vyumba! Kisha kipake lami upande wa ndani nao wa nje!
15
Navyo ndivyo, utakavyokitengeneza: urefu wa hicho chombo uwe mikono 30, nao upana wake mikono 50, nao urefu wake wa kwenda juu mikono 300.
16
Juu yake hicho chombo utengeneze mahali pa kuingizia mwanga, upana wake uwe mkono mmoja; napo upafanye, pazunguke huko juu, nao mlango wa chombo uweke mbavuni pake! Utengeneze nayo madari matatu, la chini, la kati, la juu!
17
Kwani tazama: Mimi nitaleta mafuriko ya maji juu ya nchi, niwaangamize wote wenye miili walio na pumzi za uzima, walioko chini ya mbingu; wote pia wanaokaa katika nchi sharti wafe.
18
Lakini wewe nitakuwekea agano: Utaingia mle chomboni, wewe na wanao na mkeo nao wake wa wanao pamoja na wewe.
19
Tena miongoni mwao nyama wote wenye miili utaingiza mle chomboni wawili wawili, wa kiume na wa kike, niwaponye pamoja na wewe,
20
nao ndege wa kila namna nao nyama wa nyumbani wa kila namna, nao wadudu wote wa nchi wa kila namna; wao wote na waingie kwako wawili wawili, niwaponye.
21
Kisha wewe jichukulie vilaji vyote vinavyoliwa, uvikusanye kwako, viwe chakula chako wewe nacho chao.
22
Nao akayafanya yote; kama Mungu alivyomwagiza, ndivyo, alivyoyafanya.
← Chapter 5
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 7 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50