bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 20
Genesis 20
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 19
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 21 →
1
Kisha aburahamu akaondoka huko kwenda katika nchi ya upande wa kusini, akakaa ugenini katikati ya Kadesi na Suri huko Gerari.
2
Kwa ajili ya mkewe Sara Aburahamu akasema: Huyu ni dada yangu. Kwa hiyo Abimeleki, mfalme wa Gerari, akatuma watu kumchukua Sara.
3
Ndipo, Mungu alipokuja kwa mfalme Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia: Tazama, utakufa kwa ajili ya huyu mwanamke, uliyemchukua, maana ni mke wa bwana mwingine.
4
Naye Abimeleki alikuwa hajamkaribia bado, kwa hiyo akasema: Bwana, watu wasiokosa utawaua nao?
5
Yule hakuniambia: Huyu ni dada yangu? Naye mwenyewe amesema: Yule ni kaka yangu. Hivyo nimevifanya kwa moyo usiojua kuwa vibaya na kwa mikono iliyotakata.
6
Ndipo, Mungu alipomwambia katika ndoto: Mimi nami nimejua, ya kama umevifanya hivyo kwa moyo usiovijua kuwa vibaya. Kwa sababu hii mimi nami nimekuzuia, usinikosee, nikakukataza kumgusa.
7
Sasa mrudishie yule mtu mkewe! Kwani ni mfumbuaji, akuombee, upate kupona; lakini usipomrudisha, ujue, ya kuwa utakufa kweli, wewe pamoja nao wote walio wako.
8
Kesho yake abimeleki akaamka na mapema, akawaita watumishi wake wote, akayasema hayo maneno yote masikioni pao; ndipo, hao watu waliposhikwa na woga kabisa.
9
Kisha Abimeleki akamwita Aburahamu, akamwambia: Kwa nini umetufanyia hivyo? Mimi nimekukosea nini, ukitaka kunikosesha sana mimi pamoja nao, ninaowatawala? Umenifanyizia mambo yasiyofanywa.
10
Abimeleki akamwuliza Aburahamu: Umeona nini ukilifanya jambo hilo?
11
Aburahamu akasema: Nimesema tu moyoni: Huku hakuna wenye kumwogopa Mungu, kwa hiyo wataniua kwa ajili ya mke wangu.
12
Naye ni dada yangu kweli kwa kuwa mwana wa baba yangu, lakini si mwana wa mama yangu, kwa hiyo aliweza kuwa mke wangu.
13
Ikawa hapo, Mungu aliponitoa nyumbani mwa baba yangu kusafiri huku na huko, nikamwambia: Unifanyie upendeleo huu, po pote tutakapofika, useme kwa ajili yangu: Huyu ni kaka yangu.
14
Ndipo, Abimeleki alipochukua mbuzi na kondoo na ng'ombe na watumwa wa kiume na wa kike, akampa Aburahamu, akamrudishia mkewe Sara,
15
akamwambia: Tazama, nchi yangu iko mbele yako, kaa palipo pema machoni pako!
16
Naye Sara akamwambia: Tazama, kaka yako nimempa fedha elfu, upate kaya za kuwafunika ushungi wao wote, ulio nao; ndivyo, utakavyojulikana kwao wote kuwa mtu asiyekosa.
17
Aburahamu alipomwomba Mungu, Mungu akamponya Abimeleki, naye mkewe, nao vijakazi wake, wakapata kuzaa tena.
18
Kwani Bwana alikuwa ameyakomesha kuzaa matumbo yao wote wa mlango wa Abimeleki kwa ajili ya Sara, mkewe Aburahamu.
← Chapter 19
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 21 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50