bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 15
Genesis 15
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 16 →
1
Mambo hayo yalipomalizika neno la Bwana likamjia Aburamu katika ndoto kwamba: Usiogope Aburamu! Mimi ni ngao yako, nao mshahara wako ni mwingi.
2
Aburamu akasema: Bwana Mungu, utanipa nini? Mimi ninajikalia pasipo mwana. Mwenye mali zilizomo nyumbani mwangu atakuwa huyu Eliezeri wa Damasko.
3
Kisha Aburamu akasema: Hukunipa mzao; kwa hiyo atakayezichukua mali zangu ni mzalia wa nyumbani mwangu.
4
Ndipo, neno la Bwama lilipomjia tena kwamba: Huyu hatazichukua mali zako; ila atakyetoka mwilini mwako ndiye atakayezichukua mali zako.
5
Kisha akamtoa nje, akamwambia: Tazama juu mbinguni, uzihesabu nyota, kama unaweza kuzihesabu! Akamwambia: Hivi ndivyo, wao wa uzao wako watakavyokuwa wengi.
6
Naye akamtegemea Bwana, kwa hiyo akamwazia kuwa mwenye wongofu.
7
Kisha akamwambia: Mimi ni Bwana, nimekutoa kule Uri wa Wakasidi, nikupe nchi hii, uichukue kuwa yako.
8
Naye akamwuliza: Bwana Mungu, nitajua namna gani, ya kuwa nitaichukua kuwa yangu?
9
Akamwambia: Nipatie mori wa miaka mitatu na mbuzi jike wa miaka mitatu na dume la kondoo wa miaka mitatu na hua na kinda la njiwa!
10
Alipokwisha kumpatia hao wote, akawapasua kati, akayaweka manusu ya kila nyama upande upande, yaelekeane, lakini ndege hakuwapasua.
11
Ngusu walipoishukia ile mizoga, Aburamu akawaamia.
12
Lakini jua lilipoingia, usingizi mzito ukampata Aburamu, mara akastushwa na giza kuu lililomguia.
13
Ndipo, Bwana alipomwambia Aburamu: Na ujue kabisa, ya kuwa wao wa uzao wako watakaa ugenini katika nchi isiyo yao, nao watawatumikia wenyeji, hao watawatesa miaka 400.
14
Nao wale wamizimu, ambao watawatumikia, mimi nitawahukumu, kisha wao watapata kutoka wenye mapato mengi.
15
Lakini wewe utakwenda zako na kutengemana kwao baba zako, uzikwe utakapokwisha kuwa mzee wa miaka mingi.
16
Nao watakaokuwa wa kizazi cha nne watarudi huku, kwa kuwa uovu wa Waamori haujatimia bado mpaka sasa.
17
Jua lilipokwisha kuingia, kukawa na giza jeusi sana, mara likawa kama moshi wa tanuru wenye miali ya moto iliyopita katikati ya vile vipande vya nyama.
18
Hivyo ndivyo, Bwana alivyofanya siku hiyo maagano na Aburamu kwamba: Nchi hii nitwapa wao wa uzao wako toka lile jito la Misri mpaka lile jito kubwa, lile jito la Furati,
19
kwao Wakeni na Wakenizi na Wakadimoni,
20
na Wahiti na Waperizi na wale Majitu,
21
na Waamori na Wakanaani na Wagirgasi na Wayebusi.
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 16 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50