bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 8
Genesis 8
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 7
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 9 →
1
Kisha Mungu akamkumbuka Noa na wale nyama wote nao nyama wa nyumbani waliokuwa naye chomboni; ndipo, Mungu alipovumisha upepo juu ya nchi; kwa hiyo maji yakaanza kupwa.
2
Nazo chemchemi za vilindini zikazibwa, nayo madirisha ya mbinguni yakafungwa, nazo mvua zilizotoka mbinguni zikakomeshwa.
3
Kwa hiyo maji yakaanza kutoka tena juu ya nchi, yakaenda vivyo hivyo na kurudi mahali pao, baada ya siku 150 yakawa yamepunguka.
4
Kisha kile chombo kikaja kutua kileleni kwa milima ya Ararati katika mwezi wa saba siku ya kumi na saba ya mwezi.
5
Nayo maji yakawa yakiendelea kupunguka mpaka mwezi wa kumi. Siku ya kwanza ya mwezi katika mwezi wa kumi ndipo, vichwa vya milima vilipotokea.
6
Siku 40 zilipopita tena, Noa akafungua dirisha la chombo, alilolifanya,
7
akatoa kunguru; huyu akaruka kwenda na kurudi kwenda na kurudi, mpaka maji yakikauka katika nchi.
8
Kisha akatoa njiwa kwake, aone, kama maji yamekauka katika nchi.
9
Huyo njiwa asipoona pa kutulia kwa nyayo za miguu yake akarudi kwake chomboni, kwani maji yalikuwa yangaliko juu ya nchi yote; naye akautoa mkono wake, akamchukua na kumwingiza kwake chomboni.
10
Akangoja tena siku saba nyingine, kisha akatoa tena njiwa mle chomboni.
11
Huyu njiwa aliporudi kwake saa za jioni, akaona mdomoni mwake jani la mchekele, alilolivunja. Ndipo, Noa alipotambua, ya kuwa maji yamepunguaka katika nchi.
12
Akangoja tena siku saba nyingine, akatoa tena njiwa, naye hakurudi tena kwake.
13
Ikawa katika mwaka wa 601 katika mwezi wa kwanza siku ya kwanza ya mwezi, ndipo, maji yalipokauka na kutoweka juu ya nchi. Naye Noa alipokiondoa kipaa cha chombo kutazama, akaona, ya kuwa nchi imekauka juu.
14
Katika mwezi wa pili siku ya ishirini na saba ya mwezi nchi ilikuwa imekauka kabisa.
15
Mungu akasema na Noa kwamba:
16
Toka chomboni, wewe na mkeo na wanao na wake wa wanao walio pamoja na wewe!
17
Nao nyama wote walioko kwako, wao wote wenye miili: ndege na nyama na wadudu wote waliotambaa katika nchi watoe pamoja na wewe, wajiendee po pote katika nchi, wapate kuzaa na kuwa wengi tena katika nchi!
18
Ndipo, Noa alipotoka na wanawe na mkewe na wake wa wanawe waliokuwa naye;
19
tena nyama wote na wadudu wote na ndege wote nao wote waliotambaa katika nchi wakatoka chomboni, walimokuwa, kabila kwa kabila.
20
Kisha Noa akamjengea Bwana pa kumtambikia, akatoa wengine katika nyama wote wa nyumbani wanaotakata na katika ndege wote wanaotakata, akawatolea hapo pa kumtambikia Bwana kuwa ng'ombe za tambiko za kuteketezwa nzima.
21
Bwana aliposikia huo mnuko wa kumpendeza Bwana akasema moyoni mwake: Sitaiapiza nchi tena kwa ajili ya watu, kwani mawazo ya mioyo ya watu ni mabaya tangu utoto wao, wala sitawapiga tena wote walio hai, kama nilivyofanya.
22
Siku zote, nchi itakazokuwapo, hakutakoma tena kupanda na kuvuna, baridi na jua kali, kipupwe na kiangazi, mchana na usiku.
← Chapter 7
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 9 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50