bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 9
Genesis 9
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 10 →
1
Mungu akambariki Noa na wanawe na kuwaambia: Zaeni wana, mwe wengi, mwijaze nchi!
2
Nyama wote wa nchi nao ndege wote wa angani sharti wawaogope ninyi na kuwastuka, wote pia wanaotembea katika nchi nao samaki wote wa baharini wametiwa mikononi mwenu.
3
Nyama wote wanaotembea wenye uzima ni chakula chenu; kama nilivyowapa maboga yenye majani, ninawapa sasa wao wote nao.
4
Lakini nyama walio wazima bado, maana walio wenye damu zao msiwale!
5
Nazo damu zenu na roho zenu nitazilipiza, kweli nitazilipiza kwa nyama wote nako kwa watu, roho ya mtu nitailipiza kwa mtu mwenziwe.
6
Atakayemwaga damu ya mtu damu yake nayo sharti imwagwe na mtu, kwa kuwa Mungu alimfanya mtu kwa mfano wake.
7
Nanyi zaeni wana, mwe wengi! Ijazeni nchi mkiwa wengi huku!
8
Kisha Mungu akamwambia Noa na wanawe waliokuwa naye kwamba:
9
Tazameni, mimi sasa ninawawekea agano langu ninyi nao wa uzao wenu wajao nyuma yenu
10
nao nyama wote wenye uzima waliokuwa nanyi: ndege na nyama wa nyumbani na nyama wote wa porini waliokuwa nanyi, wao wote waliotoka mle chomboni, ndio nyama wote pia wa huku nchini.
11
Nalo agano langu, ninalowawekea ninyi, ni hili: Wao wote wenye miili hawatatoweshwa tena na mafuriko ya maji, wala hayatakuwako tena mafuriko ya maji ya kuiangamiza nchi.
12
Kisha Mungu akasema: Agano hili, mimi ninalolifanya nanyi nao nyama wote wenye uzima wanaokaa kwenu, litakuwa nalo lao vizazi vya kale na kale, nacho kielekezo chake ni hiki:
13
nimeuweka upindi wangu mawinguni, nao utakuwa kielekezo cha agano, mimi nililoliagana na nchi.
14
Itakapokuwa, nikitanda mawingu mengi juu ya nchi, huo upindi utaoneka mawinguni;
15
ndipo, nitakapolikumbuka agano langu mimi, nililoliagana nanyi nao wote wenye roho za uzima, ndio wote wenye miili, ya kwamba: Hayatakuwako tena mafuriko ya maji ya kuwaangamiza wote wenye miili.
16
Upindi huo utakapokuwa mawinguni, nitautazama, nilikumbuke agano la kale na kale, mimi Mungu nililoliagana nao wote wenye roho za uzima, ndio wenye miili wote wanaokaa huku nchini.
17
Kisha Mungu akamwambia Noa: Hiki ndicho kielekezo chaagano, nililokuwekea wewe nao wenye miili wote wanaokaa huku nchini.
18
Wana wa Noa waliotoka chomboni walikuwa Semu na Hamu na Yafeti, naye Hamu ndiye baba yao Wakanaani.
19
Hawa watatu walikuwa wana wa Noa; toka kwao hawa watu wakaineza nchi yote.
20
Noa alipoanza kulima shamba, akapanda shamba la mizabibu.
21
Lakini alipokunywa mvinyo akalewa, akalala hemani pasipo kujifunika.
22
Hamu, baba yao Wakanaani, alipouona uchi wa baba yake, akawasimulia ndugu zake wawili huko nje.
23
Ndipo, Semu na Yafeti walipochukua nguo, wakaiweka mabegani kwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao, macho yao yakitazama mbele, wasiuone uchi wa baba yao.
24
Noa alipolevuka katika ulevi wa mvinyo, naye alipoyatambua, mwanawe mdogo aliyomfanyizia,
25
ndipo aliposema: Kanaani na awe ameapizwa! Sharti awe mtumwa wa watumwa kwa ndugu zake!
26
Kisha akasema: na atukuzwe Bwana, Mungu wa Semu! Naye Kanaani sharti awe mtumwa wake!
27
Mungu na ampanulie naye Yafeti, apate kukaa mahemani mwa Semu! Naye Kanaani sharti awe mtumwa wake!
28
Baada ya mafuriko ya maji Noa akawapo miaka 350.
29
Hivyo siku zote za kuwapo kwake Noa zikawa miaka 950, kisha akafa.
← Chapter 8
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 10 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50