bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 33
Genesis 33
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 32
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 34 →
1
Yakobo alipoyainua macho yake, atazame, mara akamwona Esau, akija pamoja na watu 400; ndipo, alipowagawanya watoto akimpa kila mama wake, Lea na Raheli na wale vijakazi wawili.
2
Nao hao vijakazi na wana wao akawaweka mbele, akafuata Lea pamoja na wanawe, naye Raheli pamoja na Yosefu akawaweka nyuma.
3
Naye mwenyewe akawatangulia, akajiangusha chini mara saba, mpaka amfikie mkubwa wake karibu.
4
Ndipo, Esau alipomkibilia, akamkumbatia na kumwangukia shingoni, akamnonea, nao wote wawili wakalia machozi.
5
Alipoyainua macho yake akawaona wale wanawake na watoto, akauliza: Hawa, ulio nao, ni wa nani? Akasema: Ndio watoto, Mungu aliompa mtumishi wako.
6
Ndipo, wale vijakazi walipofika karibu pamoja na watoto wao na kumwangukia.
7
Kisha Lea naye akafika karibu pamoja na watoto wake na kumwangukia, mwisho akaja Raheli pamoja na Yosefu na kumwangukia.
8
Akauliza tena: Hicho kikosi chako chote, nilichokutana nacho, ni cha nini? Akasema: Ni kwamba, nijipatie upendeleo machoni pa bwana wangu.
9
Esau akasema: Mimi ninazo mali nyingi, ndugu yangu; yashike yaliyo yako!
10
Lakini Yakobo akajibu: Sivyo! Kama nimeona upendeleo machoni pako, yachukue matunzo haya mkononi mwangu! Kwa kuwa nilipouona uso wako, ikawa, kama nimeuona uso wake Mungu, maana umenipokea na kupendezwa.
11
Sasa ipokee hiyo mbaraka, uliyoletewa! Kwani Mungu amenigawia mengi, nipate yote pia, nitoshewe. Ndivyo, aliyombembeleza, mpaka akiyachukua.
12
Kisha akasema: Na tuondoke, twende zetu! Nami na nikutangulie.
13
Lakini Yakobo akamwambia: Bwana wangu anajua, ya kuwa watoto hawa ni wachanga bado, tena ninao mbuzi na kondoo na ng'ombe wenye kunyonyesha, wao wakikimbizwa kwenda zaidi siku moja tu, kundi lote litakufa.
14
Kwa hiyo bwana wangu na amtangulie mtumishi wake; mimi na nifuate poleple, kama hawa nyama, ninaowapeleka, wanavyoweza kwenda, hata nifike kwa bwana wangu huko Seiri.
15
Ndipo, Esau aliposema: Nitakuachia watu wengine wa kwangu, nilio nao; lakini akasema: Wafanye nini? Inatosha, nikiona upendeleo machoni pa bwana wangu.
16
Basi, Esau akarudi siku hiyohiyo na kuishika njia yake ya kwenda Seiri.
17
Yakobo akaondoka kwenda Sukoti, akajijengea nyumba huko, nayo makundi yake akayajengea vibanda; kwa hiyo mahali pale pakaitwa Sukoti (Vibanda).
18
Yakobo aliporudi kutoka Mesopotamia akafika na kutengemana kwenye mji wa Sikemu ulioko katika nchi ya Kanaani, akapiga kambi mbele yake huo mji.
19
Akakinunua kile kipande cha shamba, alikolipiga hema lake, kwa wana wa Hamori, babake Sikemu, kwa fedha mia.
20
Kisha akajenga huko pa kutambikia, akapaita Mungu Mwenyewe wa Isiraeli.
← Chapter 32
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 34 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50