bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 5
Genesis 5
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 6 →
1
Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku hiyo Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza kwa mfano wake Mungu;
2
akamwumba kuwa mume na mke, akawabariki, akawaita jina lao Adamu (Mtu) siku hiyo, walipoumbwa.
3
Adamu alikuwa mwenye miaka 130 alipozaa mwana aliyefanana naye kwa kuwa mfano wake, akamwita jina lake Seti.
4
Alipokwisha kumzaa Seti, siku zake Adamu zikawa tena miaka 800, akazaa wana wa kiume na wa kike.
5
Siku zake Adamu, alizokuwapo, zote zikawa miaka 930, kisha akafa.
6
Seti alikuwa mwenye miaka 105 alipomzaa Enosi.
7
Alipokwisha kumzaa Enosi Seti akawapo miaka 807, akazaa wana wa kiume na wa kike.
8
Siku zake Seti zote zikawa miaka 912, kisha akafa.
9
Enosi alikuwa mwenye miaka 90 alipomzaa Kenani.
10
Alipokwisha kumzaa Kenani Enosi akawapo miaka 815, akazaa wana wa kiume na wa kike.
11
Siku zake Enosi zote zikawa miaka 905, kisha akafa.
12
Kenani alikuwa mwenye miaka 70 alimpomzaa Mahalaleli.
13
Alipokwisha kwisha kumzaa Mahalaleli, Kenani akawapo miaka 840, akazaa wana wa kiume na wa kike.
14
Siku zake Kenani zote zikawa miaka 910, kisha akafa.
15
Mahalaleli alikuwa mwenye miaka 65 alipomzaa Yaredi.
16
Alipokwisha kumzaa Yaredi Mahalaleli akawapo miaka 830, akazaa wana wa kiume na wa kike.
17
Siku zake Mahalaleli zote zikawa miaka 895, kisha akafa.
18
Yaredi alikuwa mwenye miaka 162 alipomzaa Henoki.
19
Alipokwisha kumzaa Henoki Yaredi akawapo miaka 800, akazaa wana wa kiume na wa kike.
20
Siku zake Yaredi zote zikawa miaka 962, kisha akafa.
21
Henoki alikuwa mwenye miaka 65 alipomzaa Metusela.
22
Naye Henoki alifanya mwenendo wa kushikana na Mungu alipokwisha kumzaa Metusela akawapo miaka 300, akazaa wana wa kiume na wa kike.
23
Siku zake Henoki zote zikawa miaka 365.
24
Kwa kuwa Henoki alifanya mwenendo wa kushikana na Mungu, mara akawa hayuko tena, kwani Mungu alimchukua.
25
Metusela alikuwa mwenye miaka 187 alipomzaa lameki.
26
Alipokwisha kumzaa Lameki akawapo miaka 782, akazaa wana wa kiume na wa kike.
27
Siku zake Metusela zote zikawa miaka 969, kisha akafa.
28
Lameki alikuwa mwenye miaka 182 alipozaa mwana.
29
Akamwita jinala lake Noa (Tulia) kwa kwamba: Huyu ndiye atakayetutuliza mioyo kwa ajili ya kazi zetu, mikono yetu inazozifanya kwa uchungu katika nchi, aliyoiapiza Bwana.
30
Alipokwisha kumzaa Noa Lameki akawapo miaka 595, akazaa wana wa kiume na wa kike.
31
Siku zake Lameki zote zikawa miaka 777, kisha akafa.
32
Noa alikuwa mwenye miaka 500 alipozaa wana; Semu, Hamu na Yafeti.
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 6 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50