bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Genesis 4
Genesis 4
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 5 →
1
Adamu akamtambua mkewe Ewa, akapata mimba; kisha akamzaa Kaini, akasema: Nimepata mwanamume kwa Bwana.
2
Tena akamzaa ndugu yake Abeli; naye Abeli akawa mchunga kondoo, lakini Kaini akawa mlima shamba.
3
Siku zilipopita, Kaini akampelekea Bwana mazao ya shamba kuwa kipaji cha tambiko.
4
Abeli naye akapeleka malimbuko ya kundi lake yenye manono. Bwana akamtazama Abeli na kipaji chake kwa kupendezwa,
5
lakini Kaini na kipaji chake hakumtazama. Ndipo, makali ya Kaini yalipowaka moto sana, haata uso wake ukakunjamana.
6
Naye Bwana akamwuliza Kaini: Mbona makali yako yamewaka moto? Mbona uso wako umekunjamana?
7
Tazama, sivyo hivyo? Ukifanya mema utanielekezea macho; lakini usipofanya mema, ukosaji hulala mlangoni na kukutamani, lakini wewe sharti uushinde!
8
Kisha Kaini akaongea na nduguye Abeli; lakini walipofika shambani, ndipo, Kaini alipomwinukia nduguye Abeli, akamwua.
9
Naye Bwana alipomwuliza Kaini: Ndugu yako Abeli yuko wapi? akajibu: Sijui; je? Mimi ni mlezi wa ndugu yangu?
10
Akamwuliza tena; Umefanya nini? Sauti za damu ya ndugu yako zinanililia huko nchini!
11
Sasa wewe umeapizwa katika nchi hii iliyoasama kuipokea damu ya ndugu yako mkononi mwako.
12
Utakapolima shamba, halitakupa tena liyawezayo kuzaa, utakuwa ukikimbiakimbia na kutangatanga katika nchi.
13
Ndipo, Kaini alipomwambia Bwana: Manza zangu ni kubwa, haziwezekani kuondolewa.
14
Tazama, umenifukuza leo hivi katika nchi hii, nami nitajificha, nisiuone uso wako tena, niwe mwenye kukimbiakimbia na kutangatanga katika nchi hii, kisha atakayeniona ataniua.
15
Lakini Bwana akamwambia: Atakayemwua Kaini atalipizwa mra saba. Kisha Bwana akamtia Kaini alama, kila atakayemwona asimwue.
16
Kisha Kaini akatoka machoni pa Bwana, akaenda kukaa katika nchi ya Nodi iliyoko ng'ambo ya Edeni.
17
Kaini akamtambua mkewe, akapata mimba, kisha akamzaa Henoki. Naye Kaini alipojenga mji akauita huo mji kwa jina la mwanawe Henoki.
18
Nenoki akapata mwana, ndiye Iradi, naye Iradi akamzaa Mehuyaeli, naye Mehuyaeli akamzaa Metusaeli, naye Metusaeli akamzaa Lameki.
19
Lameki akajichukulia wake wawili, jina lake wa kwanza ni Ada, jina lake wa pili ni Sila.
20
Ada akamzaa Yabali; yeye ndiye baba yao wanaokaa mahemani na kufuga nyama.
21
Nalo jina la nduguye ni Yubali, yeye ndiye baba yao wapiga mazeze na mazomari.
22
Sila naye akamzaa Tubalkaini, naye alikuwa mhunzi aliyejua kufua vyombo vyote vya shaba na vya chuma; naye umbu lake Tubalkaini alikuwa Nama.
23
Lameki akawaambia wakeze Ada na Sila: Isikieni sauti yangu, ninyi wakeze Lameki! Yategeni masikio yenu, myasikie maneno yangu! Nimeua mtu, kwani aliniumiza, naye ni kijana, lakini alinitia mavilio.
24
Kaini akilipizwa kisasi mara saba, Lameki na alipizwe kisasi mara sabini na saba.
25
Adamu alipomtambua mkewe tena, akazaa mwana wa kiume, akamwita jina lake Seti (Pato), kwani alisema: Mungu amenipatia mzao mwingine mahali pake Abeli, kwa kuwa kaini alimwua.
26
Seti naye alipozaliwa mwana akamwita jina lake Enosi. Siku hizo ndipo, watu walipoanza kulitambikia Jina la Bwana.
← Chapter 3
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 5 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50