bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 15
Jeremiah 15
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 16 →
1
Bwana akaniambia: Ijapo Mose na Samweli wanitokee, Roho yangu haitawaelekea wao wa ukoo huu. Waondoe usoni pangu, wajiendee!
2
Kama wanakuuliza: Twende kwenda wapi? utawaambia: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Kama ni kufa, nendeni kufa! Kama ni kuuawa na panga, nendeni kwenye panga! Kama ni kufa kwa njaa, nendeni kwenye njaa! Kama ni kutekwa, nendeni kutekwa!
3
Nitawapatia namna nne za mapatilizo; ndivyo, asemavyo Bwana: Panga za kuwaua, mbwa wa kuwakokotakokota, ndege wa angani na nyama wa porini wa kuwala na kuwamaliza.
4
Nitawatoa, watupwe huko na huko katika nchi zote zenye wafalme kwa ajili ya mambo yote, Manase, mwana wa Hizikia, mfalme wa Yuda, aliyoyafanya Yerusalemu.
5
Yuko nani atakayekuhurumia, Yerusalemu? Yuko nani atakayekulilia? Au yuko nani atakayekufikia kukuuliza, kama unakaa vema?
6
Ndivyo, asemavyo Bwana: Wewe umenitupa, ukarudi nyuma; ndipo, nilipoukunjua mkono wangu, ukukamate, nikakumaliza, maana nilikuwa nimechoka kuona uchungu.
7
Kwa hiyo nimewapepeta ungoni kwenye malango ya nchi hii, nikawaua watoto wao, nikawaangamiza waliokuwa ukoo wangu, lakini hawakurudi katika njia zao.
8
Nikiwahesabu wajane wao, ni wengi kuliko mchanga wa baharini; maana mwenye kuua mchana nimemleta kwao kwa mama wenye vijana, mara nikawaangushia mastuko na mashangao.
9
Aliyezaa wana saba akazimia kwa uchungu, akakatika roho yake, kwa kuona soni na kujifunika jua lake likachwa, mchana ungaliko bado. Nayo masao yao nitayatoa, wauawe na panga za adui zao; ndivyo, asemavyo Bwana.
10
Nilikuwa nimeapizwa, mama yangu aliponizaa! Nikawa mtu wa kugombezwa na wa kusutwa katika nchi hii yote nzima, nami sikukopesha wala sikukopa, nipate faida; nao wote huniapiza.
11
Bwana amesema: Nitakutia nguvu kweli, uone mema! Kweli nitakupa kuwachokesha adui, siku zikiwa mbaya kwa kusongwa.
12
Je? Yuko awezaye kuvunja chuma? kile chuma chenye shaba kitokacho kaskazini?
13
Lakini kwanza nitazitoa mali zenu zote na vilimbiko vyenu vyote, wakunyang'anye pasipo kulipa cho chote kwa ajili ya makosa yenu yote, mliyoyafanya katika mipaka yenu yote.
14
Nitawahamisha kwenda na adui zenu katika nchi, msiyoijua; kwani moto umewashwa na makali yangu, nao unataka kuwala.
15
Bwana, wewe unanijua, nikumbuke! Unipatilizie na kunilipizia wanaonikimbiza! Usiwavumilie! Nipokee mimi! Ujue, ya kuwa ninatukanwa kwa ajili yako!
16
Maneno yako yalipooneka yalikuwa chakula changu; hayo maneno yako yakaufurahisha moyo wangu na kuuchangamsha. Kwani ninakwita kwa Jina lako, Bwana uliye Mungu Mwenye vikosi.
17
Sikukaa kwenye wafyozaji kucheka nao; kwa kushikwa na mkono wako nilikaa peke yangu, kwani walinijaza machafuko.
18
Mbona maumivu yangu hayakomi? Mbona kidonda changu ni kibaya sana kwa kukataa kupona? Utaniwia kama kijito kidanganyacho au kama maji yasiyotegemeka?
19
Kweli hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Utakaporudi, ndipo, nitakapokurudisha, usimame tena usoni pangu! Nao wapaswao na macheo utakapowatoa kwao wasiofaa, ndipo, utakapokuwa kama kinywa changu, ndipo, wale watakaporudi upande wako, wewe usiporudi upande wao.
20
Nami nitakupa kuwawia wao wa ukoo huu boma la shaba lenye nguvu, wasikushinde wakikupelekea vita, kwani mimi niko pamoja na wewe, nikuokoe na kukuponya; ndivyo, asemavyo Bwana.
21
Nitakuponya mikononi mwao wabaya, nitakukomboa mikononi mwao wakorofi.
← Chapter 14
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 16 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52