bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 5
Jeremiah 5
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 6 →
1
Tembeeni katika barabara za Yerusalemu! Tazameni, mjue! Tafuteni katika viwanja vyake, kama mnaona mtu awaye yote afanyaye yanyokayo, atafutaye welekevu! Ndipo, nitakapowaondolea makosa.
2
Wakisema: Hivyo, Bwana alivyo Mwenye uzima! huapa kwa uwongo.
3
Bwana, kumbe macho yako hayautazami welekevu? Uliwapiga, lakini hawakuzizimuka; ukawapiga tena, lakini wakakataa kuonyeka. Wakazishupaza nyuso zao kupita miamba, wakakataa kurudi.
4
Nami nalisema moyoni: Ndio wanyonge tu walio wapumbavu hivyo, kwani hawaijui njia ya Bwana wala yampasayo Mungu wao.
5
Na niende kwenye wakuu kusema nao! Kwani hao wanaijua njia ya Bwana nayo yampasayo Mungu wao; nikaona, hao wote pamoja wamevivunja vyuma vyao, hata kamba wamezikata.
6
Kwa sababu hii simba wa mwituni amewapiga, naye mbwa wa jangwani akawaangamiza, naye chui huwavizia kwenye miji yao, kila atakayetoka mle araruliwe. Kwani mapotovu yao ni mengi, ukatavu wao ni wenye nguvu.
7
Hayo nitakuachiliaje? Wanao wameniacha, huapa na kutaja isiyo miungu; nilipowashibisha, huzini, hukusanyikia nyumbani mwa wagoni.
8
Wakatembea kama farasi walionona, kila mmoja akimlilia mke wa mwenziwe.
9
Mambo kama hayo nisiyapatilize? ndivyo, asemavyo Bwana; watu walio hivyo roho yangu isiwalipize?
10
Pandeni juu kutani kwao, mwaangamize! Lakini msiwamalize kabisa! Yaondoeni matawi yake! Kwani siyo yake Bwana!
11
Kwani walio mlango wa Isiraeli nao walio mlango wa Yuda wameniacha kwa udanganyifu; ndivyo, asemavyo Bwana.
12
Walimkana Bwana, wakasema: Hayupo, wala hakuna kibaya kitakachotujia, hatutaona upanga wala njaa.
13
Nao wafumbuaji watakuwa upepo tu, lakini Neno halimo mwao; wenyewe na wafanyiziwe waliyoyasema.
14
Kweli hivi ndivyo, Bwana Mungu Mwenye vikosi anavyosema: Kwa kuwa mmesema neno hilo, mtaniona, nitayageuza maneno yangu kinywani mwako kuwa moto, nao watu wa ukoo huu watakuwa kuni, nao moto utawala.
15
Mtaniona, ninyi wa mlango wa Isiraeli, nikiwaletea taifa litokalo mbali, ndio watu wenye nguvu, ndio watu wa kale, ndio watu, usiowajua msemo wao, usiwasikie, wakisema; ndivyo, asemavyo Bwana.
16
Mapodo yao ni kama makaburi yaliyo wazi, wote ndio mafundi wa vita.
17
Nao watayala mavuno yako na vilaji vyako; watawala hata wanao wa kiume na wa kike, watawala kondoo wako na ng'ombe wako, wataila mizabibu yako na mikuyu yako; wataibomoa kwa panga zao miji yako yenye maboma, uliyoikimbilia.
18
Lakini hata siku hizo, sitawamaliza kabisa; ndivyo, asemavyo Bwana.
19
Napo, watakapouliza: Kwa sababu gani Bwana Mungu wetu ametufanyizia hayo yote? ndipo, utakapowajibu: Kama mlivyoniacha na kutumikia miungu migeni katika nchi yenu, ndivyo, mtakavyotumikia wageni katika nchi isiyo yenu.
20
Yatangazeni haya nyumbani mwa Yakobo, yasikilike kwa Wayuda, kwamba:
21
Yasikieni haya, mlio watu wenye upumbavu pasipo mawazo ya moyoni! Macho mnayo, lakini hamwoni; masikio mnayo, lakini hamsikii.
22
Mimi hamniogopi, wala uso wangu hamwuzizimukii; ndivyo, asemavyo Bwana. Nami ndimi niwekaye mchanga kuwa mpaka wa bahari, ni tengenezo la kale na kale, nayo haipapiti; ijapo ichafuke, haipashindi, ingawa mawimbi yake yaumuke, hayapapiti.
23
Lakini wao wa ukoo huu wanayo mioyo ikataayo kutii, iliyo yenye ubishi, wakaondoka kwenda zao.
24
Hawakusema mioyoni mwao: Na tumwogope Bwana Mungu wetu atupaye mvua za masika na za vuli, siku zao zinapotimia, atulindiaye majuma ya mavuno mwaka kwa mwaka.
25
Lakini manza zenu zimeyatengua haya, makosa yenu yakawanyima mema.
26
Kwani kwao walio ukoo wangu wameonekana wasionicha; wanavizia na kunyatia kama wategea ndege, hutega mitego, wakanasa watu.
27
Kama tundu linavyojaa ndege, ndivyo, nyumba zao zinavyojaa madanganyo, kwa hiyo wakawa wakubwa, wakapata mali nyingi.
28
Wamenenepa kwa kunona; maneno yao mabaya hupita kiasi; kuamua hawaamui, nao waliofiwa na wazazi hawawaamulii, wawaponye, wala wakiwa hawawakatii mashauri yao.
29
Kumbe haya nisiyapatilize? Mambo kama hayo roho yangu isiyalipize? ndivyo, asemavyo Bwana.
30
Mambo ya kustuka yazizimuayo hufanyika katika nchi hii.
31
Wafumbuaji hufumbua yenye uwongo, nao watambikaji hufanya shauri moja nao, nao walio ukoo wangu, basi, hupenda hivyo. Lakini mtafanya nini, mwisho utakapofika?
← Chapter 4
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 6 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52