bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 26
Jeremiah 26
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 25
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 27 →
1
*Katika mwanzo wa ufalme wa Yoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, ndipo, neno hili lilipotoka kwake Bwana kwamba:
2
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Simama uani pa Nyumba ya Bwana, nao watu wa miji yote watakaopaingia kutambika Nyumbani mwa Bwana uwaambie maneno yote, niliyokuagiza kuwaambia, usipunguze hata neno moja.
3
Labda watasikia, warudi kila mmoja katika njia yake mbaya, nipate kugeuza moyo kwa ajili ya mabaya, niliyoyawaza kuwafanyizia kwa matendo yao mabaya.
4
Nawe utawaambia: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Msiponisikia, msipoendelea kuyashika Maonyo yangu, niliyowapa ninyi, yawe machoni penu,
5
msipoyashika maneno ya wafumbuaji walio watumishi wangu, mimi ninaowatuma kwenu pasipo kuchoka kila kunapokucha, msipowasikia,
6
nitaigeuza Nyumba hii kuwa kama Silo, nao mji huu nitautoa, uapizwe na mataifa yote yaliyoko ulimwenguni.
7
Watambikaji na wafumbuaji na watu wote wa ukoo huu wakamsikia Yeremia, alipoyasema maneno haya katika Nyumba ya Bwana.
8
Yeremia alipokwisha kuyasema yote, Bwana aliyomwagiza kuwaambia watu wote wa ukoo huu, ndipo, watambikaji na wafumbuaji na watu wote wa ukoo huu walipomkamata wakisema: Sharti ufe kabisa!
9
Mbona umetufumbulia katika Jina la Bwana kwamba: Nyumba hii itakuwa kama Silo, nao mji huu utakuwa mavunjiko, usikae mtu? Kisha watu wote wa ukoo huu wakamkusanyikia Yeremia katika Nyumba ya Bwana.
10
Wakuu wa Yuda walipoyasikia maneno haya wakatoka nyumbani mwa mfalme, wakapanda kwenda katika Nyumba ya Bwana, wakakaa kwenye mlango mpya wa Bwana.
11
Watambikaji na wafumbuaji wakawaambia wakuu na watu wote wa ukoo huu, wakasema: Mtu huyu anapaswa na hukumu ya kuuawa, kwani mji huu ameufumbulia maneno, kama mlivyosikia ma masikio yenu.
12
Yeremia akawaambia wakuu wote na watu wote wa ukoo huu, akasema: Bwana amenituma kuyafumbua hayo maneno yote yatakayoijia Nyumba hii na mji huu, mliyoyasikia.
13
Sasa fanyeni mwenendo mwema na matendo mema mkiisikia sauti ya Bwana Mungu wenu! Ndipo, Bwana atakapogeuza moyo, asiwafanyizie hayo mabaya, aliyoyasema!
14
Lakini mimi nitazameni! Nimo mikononi mwenu; nifanyizieni, mliyoyaona na macho yenu kuwa mema yanyokayo!
15
Lakini jueni hili kabisa: Ninyi mtakaponiua mtafanya, damu ya mtu asiyekosa iwajie ninyi na mji huu nao wakaao humu! Kwani Bwana amenituma kweli kwenu kuyasema maneno haya masikioni penu.*
16
Ndipo, wakuu na watu wote wa ukoo huu walipowaambia watambikaji na wafumbuaji: Mtu huyu hapaswi na hukumu ya kuuawa, kwani amesema na sisi katika Jina la Bwana.
17
Kulikuwa na wazee wa nchi hii, wakainuka, wakauambia mkutano wote wa watu wa ukoo huu, wakasema:
18
Mika wa Moreseti alikuwa mfumbuaji siku za Hizikiya, mfalme wa Yuda, akawaambia watu wote wa Yuda kwamba: Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema: Sioni utalimwa kuwa shamba, nao Yerusalemu utageuka kuwa machungu ya mavunjiko, nao mlima wa Nyumba ya Bwana utakuwa kilima chenye mwitu.
19
Je? Hizikiya, mfalme wa Yuda, nao Wayuda wote walimwua? Hakumcha Bwana na kuutuliza uso wake Bwana? Naye Bwana akageuza moyo, asiwafanyizie hayo mabaya, aliyowaambia. Na sisi tufanye kibaya kilicho kikuu kama hicho, tuzikoseshe roho zetu?
20
Kulikuwa na mtu mwingine aliyefumbua katika Jina la Bwana, ni Uria, mwana wa Semaya wa mji wa Kiriati-Yearimu. Naye akayafumbua yote yatakayoujia mji huu na nchi hii sawasawa kama Yeremia.
21
Mfalme Yoyakimu na watu wake wote wa vita na wakuu wote walipoyasikia maneno yake, mfalme akatafuta, jinsi atakavyomwua. Uria alipoyasikia, akaogopa, akakimbia kwenda Misri.
22
Mfalme Yoyakimu akatuma watu kwenda Misri; ni Elnatani, mwana wa Akibori, na watu wengine waliokwenda naye Misri.
23
Wakamtoa Uria huko Misri, wakampeleka kwake mfalme Yoyakimu, akampiga kwa upanga, mzoga wake akautupa kwenye makaburi yao waliokuwa wa ukoo huu.
24
Lakini Ahikamu, mwana wa Safani, alimshika Yeremia kwa mkono wake, asitiwe mikononi mwa watu wamwue.
← Chapter 25
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 27 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52