bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Jeremiah 39
Jeremiah 39
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 38
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 40 →
1
Yerusalemu ukatekwa hivyo: katika mwaka wa 9 wa Sedekia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa 9 Nebukadinesari, mfalme wa Babeli alikuja Yerusalemu na vikosi vyake vyote, wakaanza kuusonga.
2
Katika mwaka wa 11 wa Sedekia katika mwezi wa nne siku ya tisa boma la mji likabomolewa.
3
Wakaingia wakuu wote wa mfalme wa Babeli, wakakaa penye lango la kati, ni Nergali-Sareseri na Samugari-Nebu na Sarsikimu, mkuu wa watumishi wa nyumbani mwa mfalme, na Nergali-Sareseri, mkuu wa waaguaji, nao wengine wote waliokuwa wakuu wa mfalme wa Babeli.
4
Sedekia, mfalme wa Yuda, alipowaona yeye na wapiga vita wote, ndipo, walipokimbia, wakatoka mjini na usiku kwa njia ya bustani ya mfalme wakipita lango lililokuwa katikati ya zile kuta mbili za boma, wakaishika njia ya kwenda nyikani.
5
Vikosi vya Wakasidi vikawafuata na kupiga mbio, wakamfikia Sedekia katika nyika ya Yeriko, wakamkamata, wakampeleka kwa Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, mjini mwa Ribula katika nchi ya Hamati, yeye akasema naye na kumhukumu.
6
Mfalme wa Babeli akawaua wana wa Sedekia machoni pake yeye huko Ribula, nao wakuu wote wa Yuda mfalme wa Babeli akawaua.
7
Kisha akayapofua macho ya Sedekia, akamfunga kwa minyororo, ampeleke Babeli.
8
Nyumba ya mfalme na nyumba za watu Wakasidi wakaziteketeza kwa moto, nazo kuta za boma la Yerusalemu wakazibomoa.
9
Lakini masao ya watu wa ukoo huu, waliosalia mjini, ndio waliokuwa wamerudi upande wao na kuwaangukia nayo masao mengine ya watu waliosalia wakatekwa, Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, akawapeleka Babeli.
10
Lakini waliokuwa wanyonge wa ukoo huu, wasiokuwa na kitu, Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, akawaacha katika nchi ya Yuda, akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba mengine siku ile.
11
Nebukadinesari mfalme wa Babeli, akamtia Yeremia mkononi mwa Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, akimwagiza kwamba:
12
Mchukue, mwangalie kwa macho yako, usimfanyizie kibaya cho chote, ila mwenyewe atakavyokuambia, basi, ndivyo umfanyizie!
13
Ndipo, Nebuzaradani, mkuu wao waliomlinda mfalme, na Nebusazibani, mkuu wa watumishi wa nyumbani mwa mfalme, na Nergali-Sareseri, mkuu wa waaguaji, nao wakuu wote wa mfalme wa Babeli walipotuma,
14
wakamchukua Yeremia wakimtoa uani penye kifungo, wakamwagiza Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Safani, amtoe kifungoni na kumpa ruhusa kwenda nyumbani, akakaa katikati ya watu.
15
Neno la Bwana lilimjia Yeremia, alipokuwa amefungwa uani penye kifungo, kwamba:
16
Nenda kumwambia Ebedimeleki, yule Mnubi, kwamba: Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, anavyosema: Utaniona, nikiuletea mji huu niliyoyasema, yauwie, nayo ni mabaya, siyo mema, yatatimia usoni pako siku ile.
17
Lakini ndivyo, asemavyo Bwana: Wewe nitakuponya siku hiyo, hutatiwa mikononi mwao watu wale, unaowaogopa.
18
Kwani nitakuponya, usiuawe kwa upanga, nayo roho yako itakuwa pato lako, kwani umenitegemea; ndivyo, asemavyo Bwana.
← Chapter 38
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 40 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52