bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 11
Isaiah 11
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 10
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 12 →
1
Mche utamea shinani mwa Isai, kijiti kilichotoka mizizini mwake kitazaa matunda;
2
nayo Roho ya Bwana itamkalia: ni roho yenye werevu wa kweli na utambuzi, ni roho yenye mizungu na uwezo, ni roho ya kumjua Bwana nayo ya kumcha.
3
Naye atapendezwa na kumcha Bwana, hataamua kwa hayo, macho yake yatakayoyaona, wala hatakata mashauri kwa hayo, masikio yake yatakayoyasikia.
4
Atawaamulia wanyonge kwa wongofu, nao wakiwa atawakatia mashauri yanyokayo, nazo nchi atazipiga kwa fimbo ya kinywa chake, nao wasiomcha Mungu atawaua kwa pumzi itokayo midomoni mwake.
5
Wongofu utakuwa mkanda wake wa kujifunga, nao welekevu utakuwa mshipi wa kiunoni pake.
6
Hapo mbwa wa mwitu watafikia kwenye wana wa kondoo, nao chui watalala pamoja na wana wa mbuzi, hata ndama na simba na ng'ombe mnono watalisha pamoja, wakichungwa na mtoto mdogo.
7
Ng'ombe na kukuu watakula pamoja, nao watoto wao watalala pamoja, nao simba watakula majani makavu.
8
Watoto wachanga watacheza penye mashimo ya pili, nao watoto walioacha maziwa ya mama watapeleka vidole vyao machoni kwa nyoka za moto.
9
Hawatafanya mabaya wala mapotovu katika milima yangu yote mitakatifu; kwani nchi zitajaa watu wamjuao Bwana, kama maji yanavyofurika baharini.
10
Siku ile ndipo, wamizimu watakapolitafuta shina la Isai, maana litakuwa bendera, makabila ya watu yakayotwekewa, nayo makao yake yatakuwa yenye utukufu.
11
Siku ile itakuwa mara ya pili, Bwana akiukunjua mkono wake, awakomboe waliosalia kwao walio ukoo wake, awatoe katika nchi zilizo za Asuri na za Misri za chini na za juu na za Nubi na za Elamu na za Sinari na za Hamati nako kwenye visiwa vilivyoko baharini.
12
Hivyo atawatwekea wamizimu bendera, awakusanye Waisiraeli waliotawanyika, awaokote nao wanawake wa Kiyuda waliopotea, atawakusanya na kuwatoa pande zote nne za nchi.
13
Hapo ndipo, wivu wa Waefuraimu utakapokomea, nao waliowasonga Wayuda watang'olewa; Waefuraimu hawatawaonea Wayuda wivu tena, wala Wayuda hawatawasonga Waefuraimu.
14
Wataruka pamoja kama ndege, watue mabegani kwa Wafilisti upande wa baharini, nako upande wa maawioni kwa jua watawateka wakaao huko; nchi za Edomu na za Mowabu watazichukua kwa mikono yao, nao wana wa Amoni watawatii.
15
Hata ulimi wa bahari ya Misri Bwana atautia mwiko, ukauke; nalo lile jito kubwa atalikunjulia mkono wake, alifokee kwa moto wa makali yake, litokee vijito saba, watu waweze kupita pasipo kuvua viatu.
16
Hivyo patakuwa na njia yao walio sao la ukoo wake, itakuwa, kama ilivyokuwa kwao Waisiraeli siku ile, alipowatoa katika nchi ya Misri.
← Chapter 10
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 12 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66