bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 34
Isaiah 34
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 33
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 35 →
1
Karibuni, ninyi wamizimu, msikie! Nanyi makabila ya watu, angalieni! Nchi na isikilize nayo yote yaliyoko! Nao ulimwengu nayo yote yachipukako!
2
Kwani Bwana amewachafukia wamizimu wote, makali yake yawatokee vikosi vyao vyote; akawatia mwiko, wasiwepo tena, akawatoa, wachinjwe.
3
Watakaouawa kwao watatupwa tu, mnuko wa mizoga yao utaenea, nayo milima italegezwa kwa damu zao.
4
Hata vikosi vyote vya mbinguni vitayeyuka, nazo mbingu zitazingwa kama kizingo cha karatasi, vikosi vyake vyote vitanyauka, kama majani yanavyonyauka kwenye mizabibu nako kwenye mikuyu.
5
Kwani upanga wangu ukilewa mbinguni, mtauona, unavyowashukia Waedomu; nimewatia mwiko wa kuwapo, wapatilizwe.
6
Bwana yuko na upanga uliojaa damu, ukapakwa mafuta: ni damu za wana kondoo na za madume, ni mafuta ya mafigo ya madume; kwani iko sikukuu ya tambiko ya Bwana huko Bosira, liko chinjo kubwa katika nchi ya Edomu.
7
Pamoja nao hata nyati wataanguka, nayo madume na manono ya ng'ombe, nchi yao italewa kwa kuzinywa damu zao, nao mchanga utapata nguvu kwa mafuta yao.
8
Kwani hiyo ni siku ya Bwana ya kulipiza, ni mwaka wa kuvilipisha vita, walivyoupelekea Sioni.
9
Mito yake itageuzwa kuwa lami, nayo mavumbi yake yatakuwa viberiti, hivyo nchi yao itakuwa lami iwakayo moto.
10
Usiku na mchana hautazima, moshi wake utapanda kale na kale; kwa vizazi na vizazi itakuwa jangwa, siku zote za kale na kale hapataonekana atakayepapita.
11
Watakaoitwaa ni korwa na nungu, hata mabundi na makunguru watakaa huko; Bwana atatanda juu yake kamba ya kuipimia, iwe peke yake, ataweka nayo mawe ya kuipimia, iwe tupu kabisa.
12
Hakuna wakuu wake watakaoiita kuwa nchi ya kifalme, wote walioitawala watakuwa wametoweka.
13
Miti yenye miiba itamea majumbani mwao, namo mabomani viwawi na mangugi; namo ndimo, watakaamo mbweha na mbuni.
14
Huko vimburu watakutana na mbwa wa mwitu, shetani atamwita shetani mwenziwe; tena ndiko, mzuka wa kike wa usiku utakakotua na kujipatia pa kupumzikia.
15
Naye nyoka wa mamba atatengeneza kuko shimo lake, atage mayai, apate watoto, awatunze kuvulini pake, Tena ndiko, mwewe watakakokusanyikana, kila mmoja na mwenziwe.
16
Tafuteni katika kitabu cha Bwana, msome! Hawa nyama hakuna hata mmoja wao asiyepatikana, wote hakuna hata mmoja amkosaye mwenziwe; kwani kinywa chake mwenyewe ndicho kilichowaagiza, nayo Roho yake ndiyo inayowakusanya.
17
Yeye ndiye aliyewapigia kura, nao mkono wake ndio uliowagawia mafungu yao, naye aliyapima kwa kamba ya kupimia, wayatwae, yawe yao ya kale na kale, wakae huko vizazi na vizazi.
← Chapter 33
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 35 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66