bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 32
Isaiah 32
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 31
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 33 →
1
Na mwone, mfalme akitawala kwa wongofu, wakuu nao wakiwaendea watu kwa unyofu!
2
Kila mmoja wao atakuwa kimbilio penye kimbunga na ficho penye mvua nyingi, watakuwa kama vijito vya maji katika nchi kavu, na kama kivuli cha mwamba mkuu katika nchi inayotwetesha.
3
Hapo macho yao waonao hayatazibana tena, nayo masikio yao wasikiao yatasikiliza.
4
Nayo mioyo yao walio wa juujuu itatambua na kujua maana, nazo ndimi zao wagugumizao maneno zitasema upesi maneno ya sawasawa.
5
Mjinga hataitwa tena bwana mkubwa, wala mdanganyifu hataambiwa tena kuwa mkuu.
6
Kwani mjinga husema yenye ujinga, nao moyo wake hufanya maovu: hufanya yaliyo machafu machoni pake Bwana, tena husema maneno ya kupoteza watu, wasimjie Bwana, mwenye njaa humwacha, akae vivyo hivyo na njaa yake, naye mwenye kiu humnyima cha kunywa.
7
Naye mdanganyifu mizungu yake ni mibaya: huwaza njia za kupotoa, apate kuangamiza wanyonge kwa maneno ya uwongo, ijapo mkiwa aseme yanyokayo shaurini.
8
Lakini aliye bwana mkubwa huwaza yapatanayo na ubwana, naye atayasimamia ya ubwana.
9
Ninyi wanawake msiojisumbua, inukeni, mwisikilize sauti yangu! Nanyi wanawali mnaojikalia tu, yasikilizeni maneno yangu!
10
Siku za nyuma, mwaka utakapopita, mtatetemeka nyinyi mnaojikalia tu, kwani mavuno ya zabibu yatakuwa yametoweka, nayo mavuno ya matunda hayatakuwa tena.
11
Stukeni, ninyi msiojisumbua! Tetemekeni, ninyi mnaojikalia tu! Jivueni na kuondoa mavazi, mpate kujifunga viunoni tu.
12
Jipigeni vifua kwa ajili ya mashamba yaliyokuwa yakipendeza, na kwa ajili ya mizabibu iliyokuwa ikizaa sana!
13
hata kwa ajili ya nchi yao walio ukoo wangu, kwani miti yenye miiba kama mikunju itakuwamo; hata kwa ajili ya nyumba zote za furaha na kwa ajili ya huo mji uliojaa vigelegele.
14
Kwani majumba yatakuwa mahame, makelele ya mjini yatakuwa yameachwa, boma lake na minara yake itakuwa imegeuka kuwa mapango kale na kale ya kufurahisha vihongwe na malisho ya makundi ya kondoo na mbuzi.
15
Itakuwa hivyo, mpaka tutakapomwagiwa Roho itokayo juu. Ndipo, nyika itakapokuwa shamba la mizabibu, nalo shamba la mizabibu litawaziwa kuwa mwitu;
16
ndipo, mashauri ya nyikani yatakapokatwa kwa unyofu, nao wongofu utakaa mashambani kwa mizabibu.
17
Nayo kazi ya wongofu itakuwa kuleta utengemano, nao utumishi wa wongofu utakuwa kuwapatia watu utulivu, wakae salama kale na kale.
18
Ndipo, wao walio ukoo wangu watakapokaa mahali penye utengemano na katika makao ya kukaa salama na katika vituo visivyowasumbua.
19
Lakini kwanza mvua ya mawe inye ya kuvunja mwitu, tena ya kuunyenyekeza mji unyenyekee kabisa.
20
Ninyi mtakuwa wenye shangwe, kwa kuwa mtapanda kandokando ya maji po pote, mtawaacha ng'ombe na punda, wajiendee, wanapotaka.
← Chapter 31
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 33 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66