bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 38
Isaiah 38
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 37
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 39 →
1
Siku zile Hizikia akaugua, kufa kukamjia karibu. Ndipo, mfumbuaji Yesaya, mwana wa Amosi, alipokuja kwake, akamwambia: Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Yaliyo yako yaagizie walio wa mlango wako! Kwani wewe utakufa, hutarudi kuwa mzima tena.
2
Hizikia akageuka na kuuelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana,
3
akasema: E Bwana, na uukumbuke mwenendo, nilioufanya mbele yako kwa welekevu, nikayafanya kwa moyo wote mzima, yaliyo mema machoni pako. Kisha Hizikia akalia kilio kikubwa.
4
Ndipo, neno la Bwana lilipomjia Yesaya kwamba:
5
Nenda, umwambie Hizikia: Hivi ndivyo, Bwana Mungu wa baba yako Dawidi anavyosema: Nimesikia kuomba kwako, nikayaona hayo machozi yako. Basi, siku zako nitaziongeza na kukupa tena miaka kumi na mitano.
6
Namo mkononi mwake mfalme wa Asuri nitakuponya, hata mji huu, maana nitaukingia mji huu.
7
Nacho hiki kitakuwa kielekezo chako kitokacho kwa Bwana cha kwamba: Bwana atalifanya neno hili, alilolisema.
8
Tazama: kuvuli kilichoshuka penye saa ya jua ya Ahazi nitakirudisha nyuma vipande kumi! Kisha jua likarudi penye saa ya jua vipande kumi, lilivyokuwa limevishuka.
9
Huu ndio wimbo, Hizikia, mfalme wa Yuda, aliouandika katika ugonjwa wake alipokuwa amepona:
10
Mimi nilisema: Sasa, siku zangu zinapokuwa zimefika kati, sharti niingie malangoni mwa kuzimu! Nimenyang'anywa miaka yangu iliyosalia.
11
Nilisema: Sitamwona Bwana tena, maana Bwana yuko katika nchi yao walio hai; huko kwao wakaao katika nchi ya vivuli sitapata kuona mtu tena.
12
Kituo changu kimeng'olewa, kikachukuliwa kwangu kama hema la mchungaji; nimezizinga siku za maisha yangu kama mfuma nguo azikate penye nyuzi zinazozishika; mchana utakapokuwa haujawa usiku bado, utanitowesha.
13
Nikalia mpaka asubuhi, maana aliivunja mifupa yangu sawasawa kama simba; mchana utakapokuwa haujawa usiku bado, utanitowesha.
14
Nikalia kama kinega au mbayuwayu nikapiga kelele kama hua, macho yangu yakafifia kwa kutazama juu kwamba: Bwana ninakorofika! Nikomboe!
15
Sasa nisemeje? Aliyoniambia, yeye ameyafanya. Nami nitaendelea na kutulia miaka yangu yote kwa ajili ya uchungu, roho yangu iliouona.
16
Bwana! Kwa maneno kama hayo watu hupata uzima, nao uzima wa roho yangu umo humo; nami umeniponya na kunirudisha uzimani.
17
Tazama! Uchungu uliokuwa kweli uchungu kwangu umenipatia utengemano! Kwa kunipenda wewe umeitoa roho yangu mle shimoni mwa kutoweka, kwani makosa yangu yote uliyatupa nyuma yako.
18
Kwani kuzimuni siko, wanakokushukuru, wala waliokufa sio wanaokushangilia, wala walioshuka shimoni sio wanaoungojea welekevu wako.
19
Aliye hai, kweli aliye hai ndiye atakayekushukuru kama mimi leo. Baba huwajulisha watoto mambo ya welekevu wako.
20
Bwana ndiye aliyetaka kuniokoa; kwa hiyo na tumpigie mazeze na kumwimbia Nyumbani mwa Bwana siku zetu zote za kuwapo!
21
Kisha Yesaya akasema, walete andazi la kuyu, waliweke juu ya jipu, apate kupona.
22
Hizikia akasema: Kielekezo ni nini cha kwamba: Nitapanda tena kwenda nyumbani mwa Bwana?
← Chapter 37
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 39 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66