bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 16
Isaiah 16
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 15
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 17 →
1
Watumeni wana kondoo wapasao mtawala nchi, watoke magengeni, wapite nyikani, wafike mlimani kwa Binti Sioni!
2
Kama ndege wanavyohangaika na kurukaruka wakistushwa matunduni mwao, ndivyo, wana wa Moabu watakavyokuwa na kuvikimbilia vivuko vya Arnoni.
3
Tupatieni mzungu! Tupatanisheni! Vikuzeni vivuli vyenu vya mchana, viwe virefu kama vya jioni, viwe maficho yao wafukuzwao! Msiwachongee waliokimbia!
4
Acha, wafukuzwao Moabu wafikie kwako! Wawie ficho machoni pao wanaowakimbiza, sharti siku zao wawasongao ziishe, maangamizo yamalizike, nao waliowaponda watoweke katika nchi yao!
5
Hapo kiti cha kifalme kitasimikwa kwa upole, naye atakayekikalia kwa welekevu hemani mwa Dawidi atakuwa mwamuzi atafutaye yanyokayo kwa kujua wongofu.
6
Tuliyasikia majivuno ya Wamoabu kuwa makuu sana, lakini hayo matukuzo na majivuno na machafuko yao ni maneno makuu tu.
7
Kwa hiyo Wamoabu wote pamoja na waipigie kilio nchi yao ya Moabu, na wayalilie maandazi ya zabibu ya Kiri-Hereseti kwa kupondeka rohoni.
8
Kwani mashamba ya Hesiboni yamenyauka, hata mizabibu ya Sibuma iliyoleta zabibu zenye mvinyo kali za kulevya nao wakuu wa wamizimu; matawi yao yaliendelea sana, yakafika Yazeri, mengine yakapotea nyikani, miche yao ikaenea po pote mpaka kwenye bahari.
9
Kwa hiyo nami ninaililia mizabibu ya Sibuma pamoja na watu wa Yazeri, machozi yangu yazinyeshee nchi za Hesiboni na za Elale, kwani mazomeo yamewaangukia siku hizi za kiangazi zilizo siku zenu za mavuno yenu.
10
Shangwe za furaha zikatoweka mashambani, nako mizabibuni hawapigi vigelegele wala mashangilio, wala hakuna anayekamulia mvinyo makamulioni, nyimbo za wakamuliaji nimezinyamazisha.
11
Kwa hiyo nasikia ndani yangu mlio kama wa zeze wa kuwalilia Wamoabu, namo kufuani umo mlio wa kuwalilia watu wa Kiri-Heresi.
12
Napo hapo, Wamoabu watakapotokea vilimani juu na kujisumbulia hapohapo, napo, watakapoingia patakatifu pao kuomba, hakuna watakachojipatia.
13
Hilo ndilo tamko zito, Bwana alilolisema kale la kuwaambia Wamoabu;
14
lakini sasa Bwana anasema hivi: Itakapotimia miaka mitatu iliyo kama miaka ya kibarua, ndipo, utukufu wa Moabu utakapokuwa umebezeka, nao ulikuwa haukupimika kwa wingi wa watu, nalo sao lao litakuwa limepunguka, liwe dogo sana pasipo nguvu zo zote.
← Chapter 15
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 17 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66