bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 17
Isaiah 17
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 18 →
1
Na mwone, mji wa Damasko ukiondolewa, usiwe mji, utakuwa chungu la mawe yatawanyikayo.
2
Miji ya Aroeri itakuwa imeachwa nayo, itakuwa malisho, makundi yatapumzikia hapo pasipo kuona atakayeyastusha.
3
Hivyo ngome ya Efuraimu itapotea, ufalme utakapoondoka Damasko, nalo sao la Ushami litakuwa kama utukufu wa Waisiraeli; ndivyo, asemavyo Bwana Mwenye vikosi.
4
Siku ile ndipo, utukufu wa Yakobo utakapopunguka sana, nao mwili wake mnene utakuwa gofu la mtu tu.
5
Itakuwa kama mvunaji akishika manyasi, mkono wake ukate masuke, au itakuwa kama mtu akitaka kuokota masuke katika bonde la Refaimu.
6
Watakaosalia watakuwa wa kuokoteza, itakuwa kama penye mavuno ya matunda ya mchekele: mawili matatu yatasalia kileleni juu kabisa, manne matano yatasalia katika matawi ya mti, ulioyazaa; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu wa Isiraeli.
7
Siku ile watu watamtazamia tena aliyewaumba, macho yao yatamwelekea Mtakatifu wa Isiraeli;
8
hawatapatazamia tena mahali pao pa kutambikia, mikono yao ilipopatengeneza, wala hawatataka kuiona tena mifano ya mwezi wala ya jua, waliyoifanya kwa vidole vyao.
9
Siku ile miji yenu yenye maboma itageuka kuwa kama mahame ya mwituni au ya milimani, waliyoyaacha walipowakimbia Waisiraeli, maana itakuwa peke yao tu pasipo watu.
10
Kwani umemsahau Mungu aliye wokovu wako, hukuukumbuka mwamba ulio nguvu yako. Kwa hiyo panda tu mashamba ya kupendeza na kumwaga mle mbegu za miti migeni!
11
Siku ya kupandia uzichipuze, kesho zipate kuchanua! Lakini mavuno yatakuwa yamekimbia siku ile, utakapougua kwa kupatwa na maumivu yasiyopona.
12
Je? Uvumi gani huu wa makabila mengi ya watu? Wanavuma, kama maji yanavyovuma yakiwa mengi. Ni ngurumo gani ya makabila ya watu? Wananguruma kama ni ngurumo ya maji yenye nguvu.
13
Lakini ijapo makabila ya watu yangurume, kama maji mengi yanavyonguruma, yeye atakapowakaripia, watakimbia mbali sana, watafukuzwa, waruke kama makapi, yakipeperushwa na upepo vilimani juu, au kama mavumbi, yakichukuliwa na kimbunga.
14
Ilipokuwa jioni, mastuko yakawa yangaliko bado, lakini kulipotaka kupambazuka, yalikuwa yametoweka. Hilo ndilo fungu lao waliotaka kututeka, hilo ndilo gawio, kura lililowapatia wao waliotaka kuzipokonya mali zetu.
← Chapter 16
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 18 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66