bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 57
Isaiah 57
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 56
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 58 →
1
Mwongofu akiangamia, hakuna aumiaye moyoni; wapole wakiondolewa, hakuna ayatambuaye, ya kuwa mwongofu huondolewa, ubaya ulipo.
2
Nao huingia kwenye utengemano, hupumzika hapo, wanapolala wao waliozifuata njia zao zinyokazo.
3
Nanyi karibuni hapa, mlio wana wa mwaguaji wa kike! Mlio uzao wa mvunja unyumba na mwanamke mgoni!
4
Yuko nani, mnayemcheka? Yuko nani, mnayemwasamia vinywa na kutoa ndimi? Je? Ninyi ham wana wa upotovu na mazao ya uwongo?
5
Mnaingiwa na tamaa chini ya mitamba napo chini ya kila mti wenye majani meusi, mnachinja watoto mitoni kwenye mapango ya miamba.
6
Mawe ya mtoni yatelezayo na fungu lako, hayo ndiyo, unayoyatumia kuwa kura yako; nayo huyamwagia vinywaji vya tambiko, ukayatolea hata vilaji vya tambiko. Sasa je? Hayo niyanyamazie tu?
7
Kwenye mlima mrefu juu kileleni hujitandikia pako pa kulalia, ukipanda huko kuchinja ng'ombe za tambiko.
8
Kwa kuniacha mimi unakiweka kinyago chako cha nyumbani nyuma ya mlango kwenye miimo; kisha ukakifunua kilalo chako, ukakipanda, ukakipanua, ukajichagulia mmoja wao, ukapenda kulala nao, ulipoona mkono uliokupungia.
9
Ukasafiri kumwendea mfalme ukichukua mafuta ya kukipaka na manukato yako mengi, ukatuma wajumbe wako kwenda katika nchi za mbali, ukawaendesha hata kushuka kuzimuni.
10
Ukachoka kwa njia zako nyingi, lakini hukusema: Tamaa zimekatika; ulipoona mkononi mwako, ya kuwa nguvu zimo bado, basi, hukulegea.
11
Ni kwa ajili ya nani ukitishika, ukamwogopa, ukafanya ya uwongo? Lakini mimi hukunikumbuka, hukuniweka moyoni mwako. Imekuwaje? Sivyo hivyo: kwa kuwa mimi nimenyamaza tangu kale, hukuniogopa?
12
Nami na nitangaze, wongofu wako ulivyo, lakini viumbe vyako havitakufalia kitu.
13
Utakapolia, na vikuponye vile vyote, ulivyovikusanya! Lakini hivyo upepo utavichukua, pumzi tu itaviondoa. Naye anikimbiliaye ataitwaa nchi, nao mlima wangu mtakatifu ataupata kuwa wake.
14
Amesema: Chimbeni! Chimbeni! Itengenezeni njia! Yaondoeni makwazo njiani kwao walio ukoo wangu!
15
Kwani hivi ndivyo, anavyosema atukukaye, Alioko huko juu, akaaye kale na kale, aitwaye jina lake Mtakatifu: Ninakaa hapa juu patakatifu, tena kwao wapondekao na kunyenyekea rohoni, nizirudishe uzimani roho zao wanyenyekevu, niirudishe uzimani nayo mioyo yao wapondekao.
16
Kwani sitagomba kale na kale, wala sitakasirika siku zote, roho zao zisizimie mbele yangu pamoja nao wenye pumzi, niliowafanya mimi.
17
Ubaya wa choyo chao niliukasirikia, nikawapiga nikijificha kwa kuwa na makali, nao wakajiendea na kuniacha, wakashika njia za kuipendeza mioyo yao.
18
Nikaziona hizo njia zao, kwa hiyo nitawaponya na kuwaongoza, niwalipe na kuwatuliza mioyo wao na wenzao, waliowasikitikia.
19
Na niumbe mazao ya midomo itakayotangaza utengemano kwamba: Utengemano utawajia walioko mbali nao walioko karibu! Ndivyo, anavyosema Bwana: Kweli nitawaponya.
20
Lakini wasiomcha Mungu hufanana na bahari ichafukayo, isiyoweza kutulia kamwe, mawimbi yake hayakomi kutoa machafu na takataka.
21
Hakuna utengemano kwao wasiomcha Mungu; ndivyo, anavyosema Mungu wangu.
← Chapter 56
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 58 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66