bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 45
Isaiah 45
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 44
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 46 →
1
Hivi ndivyo, Bwana anavyomwambia Kiro, aliyempaka mafuta: Nimemshika mkono wake wa kuume, nikanyage mbele yake mataifa mazima, nikafungua mishipi viunoni kwa wafalme, nikafungua mbele yake milango na malango, yasifungike tena.
2
Mimi nitakwenda mbele yako, nipalinganye pasipopitika, nivunje milango ya shaba, nikate makomeo ya chuma.
3
Nitakupa malimbiko yaliyomo gizani nazo tunu zilizofichwa, kusudi upate kujua, ya kuwa mimi ni Bwana, Mungu wa Isiraeli ndiye aliyekuita kwa jina lako.
4
Ni kwa ajili ya mtumishi wangu Yakobo na kwa ajili ya mteule wangu Isiraeli, nikikuita kwa jina lako na kukupa jina la macheo, nawe ulikuwa hukunijua.
5
Mimi ni Bwana, hakuna mwingine tena; pasipo mimi hakuna Mungu; nimekuvika, nawe ulikuwa hukunijua.
6
Kwani walioko maawioni nao walioko machweoni kwa jua ninawataka wote, wajue, ya kuwa hakuna aliye Mungu, isipokuwa mimi, mimi ni Bwana, hakuna mwingine tena.
7
Natengeneza mwanga, naumba giza nayo, nafanya utengemano, naumba ubaya nao, mimi Bwana ndiye ayafanyaye hayo yote.
8
Ninyi mbingu, nyesheni huko juu, nanyi mawingu umimineni wongofu, nchi ifunguliwe, ijae wokovu, ioteshe wongofu nao; mimi Bwana ndiye aliyeiumba.
9
Yatampata ambishiaye mfinyanzi wake, naye ni kigae tu kwenye vigae wenziwe vya udongo! Je? Udongo unaweza kumwambia mfinyanzi: Unafanya nini? Au kiko kiumbe chako kiwezacho kukuambia: Hana mikono?
10
Yatampata amwambiaye baba yake: Watoto unawazalia nini? au amwambiaye mama yake: Mimba unazipatia nini?
11
Hivi ndivyo, anavyosema Bwana, Mtakatifu wa Isiraeli, yeye aliyemtengeneza asema: Niulizeni yatakayokuja! Niagizieni nayo mambo ya watoto wangu! Kwani ndio kazi za mikono yangu.
12
Mimi nilifanya nchi, nikawaumba watu waikaao; mikono yangu mimi iliziwamba mbingu, navyo vikosi vyao vyote niliviagiza, vitokee.
13
Mimi nimemwamsha naye yeye (Kiro) kwa hivyo, nilivyo mwongofu, nazo njia zake zote na nizinyoshe. Yeye ndiye atakayeujenga mji wangu, nao watu wangu waliotekwa atawafungua, wajiendee; lakini havitakuwa kwa makombozi wala kwa fedha za kupenyezewa. Ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema.
14
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Wamisri na mali zao, walizozisumbukia, nao Wanubi na mapato yao, waliyoyachuuzia, nao Waseba, wale watu warefu, watakufikia, wawe wako; wakikuangukia na kukulalamikia, watakwenda nyuma yako wakiwa wamejifunga mapingu, kwani kwako yuko Mungu, hakuna mwingine tena awaye yote aliye Mungu.
15
Wewe ndiwe Mungu kweli, ijapo uwe mwenye mafumbo, u Mungu wa Isiraeli, u mwokozi.
16
Wao wote pamoja watakuwa wameona soni kwa kutwezwa, mafundi wa vinyago watakuwa wamejiendea kwa kutwezwa.
17
Isiraeli atakuwa ameokolewa na Bwana, atapata wokovu wa kale na kale, hamtaona soni, wala hamtatwezeka siku za kale na kale zitakazokuwa zote.
18
Kwani hivi ndivyo, anavyosema Bwana aliyeziumba mbingu, yeye Mungu, aliyeifanya nchi na kuitengeneza vema, yeye aliyeishikiza, kwa kuwa hakuiumba, iwe tupu, yeye aliyeitengeneza, watu waikae, yeye anasema: Mimi ndimi Bwana, hakuna mwingine tena.
19
Sikusema fichoni mahali penye giza ya nchi, wala sikuwaambia walio uzao wa Yakobo: Nitafuteni bure! Mimi Bwana husema yenye wongofu, hutangaza yanyokayo!
20
Njoni, kusanyikeni, mfike karibu, ninyi masao ya wamizimu mliopona! Hawajui kitu wajitwikao vinyago vya miti kulalamikia mungu usioweza kuokoa.
21
Semeni, leteni mashahidi! Na wapige shauri pamoja! Yuko nani aliyeambia watu haya, wakiyasikia huko kale? Yuko nani aliyeyatangaza tangu mwanzo? Si mimi Bwana? Hakuna tena aliye Mungu, isipokuwa mimi. Mungu aliye mwongofu na mwokozi hayuko pasipo mimi.
22
Nigeukieni, mwokoke, ninyi mapeo yote ya nchi! Kwani mimi ndimi Mungu, hakuna mwingine tena.
23
Nimeapa na kujitaja mwenyewe, neno lenye wongofu likatoka kinywani mwangu, nalo halitarudi bure, hilo la kwamba: Mimi wote watanipigia magoti, ndimi zao zote zikisema kwa kuapa:
24
Kwake Bwana peke yake ndiko, nilikopata wongofu na nguvu. Sharti waje kwake na kuona soni wote waliomkasirikia.
25
Kwake Bwana watapata wongofu, kisha watamshangilia wote walio wa uzao wake Isiraeli.
← Chapter 44
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 46 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66