bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 47
Isaiah 47
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 46
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 48 →
1
Shuka, ukae mavumbini, binti Babeli uliye mwanamwali! Kaa chini! Hakuna kiti kitukufu, mwana wa Wakasidi! Hutaitwa tena mwanana mwenye mwili mzuri.
2
Chukua jiwe la kusagia, jike na dume, usage unga mwenyewe ukiisha kuuvua ukaya wako! Pandisha nguo, mapaja yaoneke, ukipita mito!
3
Uchi wako na ufunuliwe, nayo yakutiayo soni yaoneke! Nitakulipisha hivyo, hakuna nitakayemhurumia.
4
Mkombozi wetu ni Bwana Mwenye vikosi, Jina lake ni Mtakatifu wa Isiraeli.
5
Nyamaza kimya, uende zako gizani, mwana wa kike wa Wakasidi! Kwani hawatakuita tena bibi mwenye nchi za kifalme.
6
Nilipowakasirikia walio ukoo wangu, ndipo, nilipowachafua walio fungu langu, nikawatia mikononi mwako, lakini wewe hukuwahurumia, ukawatwika nao wazee mizigo yako iliyowalemea sana.
7
Ukasema kwamba: Kale na kale nitakuwa mfalme! Kwa hiyo hukuyawaza hayo moyoni, wala hukukumbuka, ya kuwa yako na mwisho.
8
Sasa yasikie haya, wewe mcheshi uliyekaa salama, uliyesema moyoni mwako: Ni mimi, hakuna mwingine tena! Sitakaa ujane, wala sitakujua kuwa pasipo watoto.
9
Tena yatakujia siku moja na kukugundua hayo mambo mawili: kuwa pasipo watoto na kukaa ujane; haya yatakujia yote pamoja, ijapo mazindiko yako yawe mengi, ijapo kugangua kwako kuwe kwenye nguvu sana.
10
Ulijiegemeza kwa ubaya wako ukisema: Hakuna anayeniona. Werevu wako na ujuzi wako ukakuponza, ukasema moyoni mwako: Ni mimi, hakuna mwingine tena!
11
Basi, mabaya yatakujia, usiyojua kuyalogoa; teso litakuangukia, usiloweza kujizindikia. Mara angamizo litakujia, usilolijua.
12
Jisimamie hapo, unapogangua, panapo mazindiko yako mengi, ambayo ulijisumbua nayo tangu ujana wako; labda utaweza kujipatia mafaa, labda utastusha watu.
13
Umechokeshwa na mashauri yako mengi; sasa na watokee, wakuokoe, wao waaguliao ya mbinguni nao wachunguzao nyota, wao waliolinganya kila mwandamo wa mwezi upande, yatakakotokea mabaya yatakayokujia.
14
Watazameni! Wako kama makapi yaliyounguzwa na moto, hawawezi kujiokoa wenyewe katika moto uwashikao, hakuna makaa ya kuyaotea, wala hakuna jiko lenye moto la kukaa hapohapo.
15
Ndivyo, walivyokufanyia nao wachuuzi wako, uliowasumbukia tangu ujana wako, wametawanyika, kila mmoja upande wake, hakuna akuokoaye.
← Chapter 46
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 48 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66