bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 27
Isaiah 27
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 26
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 28 →
1
Siku ile Bwana atatokea akishika upanga ulio mgumu na mkubwa na wenye nguvu, amlipishe Lewiatani, ni lile joka limkimbialo; yeye Lewiatani, lile joka la kujizinga kabisa, atamwua pamoja na yule nondo alioko baharini.
2
Siku ile watasema: Mzabibu mzuri! Uimbieni!
3
Mimi Bwana ni mlinzi wake; mara kwa mara ninaunywesha; kusudi mtu asiuharibu, ninaulinda usiku na mchana.
4
Ukali sinao tena; kama ningeona mikunju na mibigili, ningeipelekea vita mara moja, niichome moto yote pamoja;
5
nao watanishika, niwalinde kwa nguvu zangu, wataniomba, watulie kwangu, kweli wataniomba, watulie kwangu.
6
Siku zitakazokuja Yakobo atatia mizizi, Isiraeli atachanua na kuzaa matunda, waueneze ulimwengu wote hayo matunda.
7
Je? Amewapiga, kama alivyowapiga waliowapiga? Au wameuawa, kama walivyouawa waliowaua?
8
Amewagombeza tu na kuwafukuza na kuwatuma, wajiendee, akawakimbiza kwa upepo mgumu siku za kimbunga kilichotoka maawioni kwa jua.
9
Hivyo manza zao, wa Yakobo walizozikora, zimefunikwa kweli, nalo hili ndilo pato la kuwaondolea makosa yao: mawe yote ya mahali pa kutambikia miungu wameyaponda kuwa mavumbi kama ya mawe ya chokaa yaliyobunguliwa, nayo mifano ya mwezi na ya jua haikusimikwa tena.
10
Kwani mji uliokuwa wenye nguvu peke yake tu, ni mahame tu pasipo watu; yalipoachwa, pakawa nyika: ng'ombe wanalisha huko, wanapumzika huko na kuvimaliza vijiti vyake.
11
Matawi yao yakiisha kukauka, huvunjwa; wanawake wanakuja, wanayatumia kuwa kuni, kwani sio watu wanaotambua maana. Kwa hiyo yeye aliyewafanya hawahurumii, muumba wao hawaonei uchungu.
12
Siku ile Bwana atayapura masuke yote, kuanzia kwenye lile jito kubwa kufikisha mpaka mtoni kwa Misri. Nanyi wana wa Isiraeli, mtakusanywa mmoja kwa mmoja.
13
Tena siku ile, baragumu kubwa litakapopigwa, ndipo, wote waliopotelea katika nchi ya Asuri watakapokuja pamoja nao waliotawanyika katika nchi ya Misri, wamtambikie Bwana kwenye mlima mtakatifu wa Yerusalemu.
← Chapter 26
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 28 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66