bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 51
Isaiah 51
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 50
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 52 →
1
Nisikilizeni, ninyi mnaofuata yaongokayo, ninyi mnaomtafuta Bwana! Utazameni mwamba, ambao mlichongwa mumo humo! Litazameni shimo la kisima, ambalo mlichimbuliwa mumo humo!
2
Mtazameni baba yenu Aburahamu na mzazi wenu Sara! Nilimwita yeye mmoja tu, nikambariki, nikampa kuwa wengi.
3
Kwani Bwana ameutuliza Sioni, ameyatuliza mabomoko yake yote, kwa kuwa atayageuza mapori yake kuwa mashamba, nazo nyika zake kuwa kama bustani ya Bwana. Ndipo, kutakapooneka mle kufurahi na kuchangamka, kushukuru na kuimba kwa sauti kuu.
4
Niangalieni, ninyi mlio ukoo wangu, ninyi mlio watu wangu nisikilizeni! Kwani maonyo yatatoka kwangu, nayo yanyokayo machoni pangu nitayaweka kuwa mwanga wa makabila ya watu.
5
Bado kidogo nitakuja kushinda na kuutokeza wokovu wangu; ndipo, mikono yangu itakapoyapatiliza makabila ya watu. Mimi ndimi, visiwa vitakayemngojea na kuuchungulia mkono wangu.
6
Yaelekezeni macho yenu mbinguni! Kisha zitazameni nchi zilizoko chini! Kwani mbingu zitatoweka kama moshi, nazo nchi zitachakaa kama nguo, nao wazikaliao mara watakufa vivyo hivyo. Lakini wokovu wangu utakuwa wa kale na kale, nao wongofu wangu hautaangamika.
7
Nisikilizeni, ninyi mjuao yaongokayo, mlio watu wayashikao Maonyo yangu mioyoni mwenu, msiogope kutwezwa na watu, wala msiyastukie matusi yao!
8
Yako yatakayowala, kama nondo wanavyokula nguo, au kama mende wanavyokula pamba, lakini wongofu wangu utakuwa wa kale na kale, nao wokovu wangu utakalia vizazi na vizazi.
9
Amka! Amka, uone nguvu, wewe mkono wa Bwana! Amka kama siku za kale kwenye vizazi vya zamani! Si wewe uliomkatakata Rahabu (Mkuu wa maneno wa Misri) na kumchoma yule joka kubwa?
10
Si wewe ulioikausha bahari yenye vilindi vya maji mengi na kutoa njia mlemle vilindini mwa bahari, wapitemo waliokombolewa?
11
Waliookolewa na Bwana watarudi, waje Sioni na kupiga shangwe; vichwani pao itakuwa furaha ya kale na kale, machangamko na furaha zitawafikia, lakini machungu yatakimbia, wasipige kite tena.
12
Mimi ndimi ninayewatuliza mioyo yenu. Wewe ndiwe nani ukiogopa watu wafao na wana wa watu watowekao kama majani?
13
Umemsahau Bwana aliyekufanya, aliyezitanda mbingu, aliyezishikiza nchi, ukatetemeka siku zote pasipo kukoma kwa ajili ya makali yake anayekusonga, kwa kuwa alitaka kukuangamiza; na sasa makali yake aliyekusonga yako wapi?
14
Aliyepindika kwa kufungwa atafunguliwa upesi, hatakufa, atupwe shimoni, wala hatakosa chakula chake.
15
Kwani mimi na Bwana Mungu wako, achafuaye bahari, mawimbi yake yaumuke; Bwana Mwenye vikosi ni Jina langu.
16
Nami nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako, nikakuficha kivulini mwa mkono wangu, nipate kuzitokeza mbingu mpya na kuishikiza nchi tena, na kuuambia Sioni: Ukoo wangu ndiwe wewe.
17
Amka! Amka! Inuka, Yerusalemu! Umekunywa mkononi mwa Bwana kikombe chenye makali yake, hicho kikombe kilichojaa kileo cha kupepesusha umekinywa na kukimaliza.
18
Katika watoto wote, aliowazaa, hakuwako, aliyemwongoza, wala katika watoto wote, aliowakuza, hakuwako, aliyemshika mkono.
19
Mambo yaliyokupata ni haya mawili, -lakini yuko nani atakayekupongeza?- kuvunjwa na kubomolewa, tena kuuawa kwa njaa na kwa panga, lakini nitawezaje kukutuliza moyo?
20
Wanao wa kiume walikuwa wamezimia, wakalala pembeni kwenye njia zote za mji, wakawa kama paa waliokamatwa na wavu, kwa kuwa walileweshwa na makali yake Bwana, na makemeo yake Mungu wako.
21
Kwa hiyo yasikilize haya, wewe uliyenyongeka kwa kulewa, lakini sio kwa mvinyo!
22
Ndivyo, anavyosema Bwana aliye Bwana na Mungu wako, awapiganiaye walio ukoo wake: Tazama! Nimekichukua mkononi mwako kile kikombe chenye kileo cha kupepesusha, hicho kikombe kilichojaa makali yangu hutakinywa tena.
23
Sasa nitakitia mikononi mwao waliokutesa, waliokuambia: Lala chini, tupite juu yako! nawe hukuwa na budi kitumia migongo yako kuwa nchi, kuwa njia ya kupitia hapohapo.
← Chapter 50
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 52 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66