bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 54
Isaiah 54
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 53
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 55 →
1
Shangilia, wewe uliye mgumba, usiyezaa! Jichekelee na kupaza sauti, wewe usiyeona uchungu wa kuzaa! Kwani wana wake yule aliye peke yake ni wengi kuliko wana wake yule aliye na mumewe; ndivyo, Bwana anavyosema.
2
Papanue mahali pa hema lako! Nazo nguo za hema za makao yako na waziwambe na kuzivuta! Usiwazuie! Kamba za hema ziongeze, ziwe ndefu! Mambo zake zipigilie, zishike vema!
3
Kwani utazieneza pande za kuumeni nazo za kushotoni, nao wazao wako watatwaa makabila ya watu, wakae katika mahame ya miji yao.
4
Usiogope! Kwani hutapatwa na soni, wala hutaiva uso, kwani hutadanganyika, kwa kuwa utazisahau soni, ulizoziona ulpokuwa kijana, nayo matusi, uliyotukanwa ulipokuwa mjane, hutayakumbuka.
5
Kwani mumeo ni yeye aliyekufanya, Bwana Mwenye vikosi ni Jina lake, naye mkombozi wako ni Mtakatifu wa Isiraeli aitwaye Mungu wa nchi zote.
6
Kwani ulipokuwa mwanamke aliyeachwa, aliyesikitika rohoni, Bwana alikuita. Naye mke wa ujana anakataliwaje? Ndivyo, Mungu wako anavyosema.
7
Kweli kitambo kidogo nimekuacha, lakini nitakupokea tena kwa huruma kubwa.
8
Makali yalipofurika, nimeuficha uso wangu punde kidogo, usiuone, lakini kwa upole ulio wa kale na kale nitakuhurumia; ndivyo, Bwana aliye mkombozi wako anavyosema.
9
Hayo yatakuwa, kama yalivyokuwa katika mafuriko ya Noa, nikaapa: Mafuriko ya Noa hayataididimiza nchi tena; vivyo hivyo nimeapa sasa kwamba: Sitakutolea makali tena, wala sitakukaripia.
10
Ijapo milima iondoke, ijapo navyo vilima vitikisike, upole wangu hautaondoka kwako, wala agano la utengemano wangu halitatikisika; ndivyo, Bwana akuhurumiaye anavyosema.
11
Kweli umenyongeka kwa kutikiswa na upepo mkali, hukutulizwa moyo! Lakini na uone, mimi ninavyokujenga na kuyaweka mawe yako katika udongo wenye wanja na kuitengeneza misingi yako kwa mawe ya safiro.
12
Minara yako nitaijenga kwa mawe ya yaspi, nayo malango yako kwa mawe yamulikayo, nalo boma lako zima kwa mawe ya vito vizuri.
13
Watoto wako wote watakuwa wamefundishwa na Bwana, hivyo watoto wako watakuwa wametengemana kabisa.
14
Wongofu wao utakuwa nguvu zako; kwa hiyo jitenge na ukorofi! Kwani hakuna kitakachokuogopesha. Acha kustuka! Kwani hakuna tisho litakalokufikia.
15
Kama wanakujia, si kwa kuagizwa na mimi; kwa hiyo yuko nani atakayekujia, akupige? Hapo atakapopigana na wewe ataanguka.
16
Tazameni! Mimi nimeumba mafundi wanaowakisha moto wa makaa, watengeneze mata ya kufanyia kazi zao; tena mimi ndiye niliyeumba nao waangamizi wa kuyavunja.
17
Hakuna mata yatakayozimaliza kazi zao yakiwa yametengenezwa ya kukuumiza, nao kila ulimi utakaokuinukia shaurini utashinda na kuupatilizia mabaya; hilo ndilo fungu, watumishi wake Bwana watakalolitwaa, hilo ndilo pato la wongofu wao, nitakalowapatia; ndivyo, asemavyo Bwana.
← Chapter 53
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 55 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66