bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 55
Isaiah 55
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 54
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 56 →
1
Nyote mwonao kiu, njoni kwenye maji! Nanyi mkosao fedha, njoni kununua, mpate kula! Nunueni pasipo fedha bure tu mvinyo na maziwa!
2
Mbona mnatoa fedha pasipo kupata chakula? Nayo mapato yaliyowachokesha mbona mnayatoa pasipo kushiba? Nisikilizeni, mpate kula mema, roho zenu zipendezwe na manono!
3
Yategeni masikio yenu! Njoni kwangu, mnisikie, roho zenu zipate kupona! Nami nitafanya nanyi agano la kale na kale la kuwapa magawio ya Dawidi yanayotegemeka.
4
Jueni! Nimemweka kunishuhudia kwa makabila ya watu, akawa mkuu na mtawala makabila ya watu.
5
Tazama! Utaita watu, usiowajua, nao watu wasiokujua watakukimbilia, kwa kuwa uko na Bwana Mungu wako, kwa kuwa Mtakatifu wa Isiraeli amekupa utukufu.
6
*Mtafuteni Bwana, akingali yuko, aoneke! Mwiteni, akingali karibu!
7
Asiyemcha Mungu na aiache njia yake, kila mtu na auache upotovu wa mawazo yake! Na arudi kwake Bwana Mungu wetu, amhurumie! Kwani huzidisha kutuondolea mabaya.
8
Kwani ndivyo, asemavyo Bwana: Mawazo yangu siyo mawazo yenu, wala njia zenu sizo njia zangu;
9
kama mbingu zilivyo juu kabisa kuliko nchi, ndivyo, njia zangu zilivyo juu kabisa kuliko zenu, ndivyo, nayo mawazo yangu yalivyo makuu kuliko mawazo yenu.
10
Kwani kama mvua ya maji na ya mawe inavyoshuka toka mbinguni, isirudi huko, isipokwisha kuinywesha nchi na kuizalisha na kuichipuza, itoe mbegu za kupanda na vilaji vya kula:
11
ndivyo, litakavyokuwa Neno langu litokalo kinywani mwangu, nalo halitarudi kwangu bure lisipokwisha kufanya yanipendezayo, lipate kuyatimiza, ambayo nililituma kuyafanya.*
12
Kwani mtatoka na kufurahi, mtaongozwa, mwende na kutengemana. Milima navyo vilima vitapaza sauti za kushangilia mbele yenu, hata miti yote ya porini itapiga makofi.
13
Palipokuwa na mikunju tu, patakuwa na mivinje, napo palipokuwa na viwawi tu, patakuwa na miti ya vihagilo, nayo miti hiyo italitangaza Jina la Bwana, iwe kielekezo chake cha kale na kale kisichong'oleka.
← Chapter 54
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 56 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66