bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 63
Isaiah 63
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 62
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 64 →
1
Ni nani huyu anayetoka Edomu na kuvaa nguo nyekundu za Bosira? Ni mtukufu katika vazi lake, anatembea na kuzionyesha nguvu zake nyingi; anasema: Yuko nani asemaye kwa wongofu? Ninazo njia nyingi za kuokoa.
2
Mbona vazi lako ni jekundu? Mbona nguo zako zinafanana nazo za mkamua zabibu?
3
Kweli nimekamua kamulioni mimi peke yangu, pasipokuwa na mtu mwingine, nikawakamua kwa makali yangu, nikawaponda kwa moto wa machafuko yangu, damu zao zikazirukia nguo zangu, nikayachafua mavazi yangu yote,
4
kwani ilikuwa siku ya lipizi, niliyoiweka moyoni mwangu, tena umetimia mwaka wa kuwakomboa walio wangu.
5
Nikatazama, lakini hakuna msaidiaji, nikachungulia na kushangaa, lakini hakuna ashikizaye; ndipo, mkono wangu uliponitumikia kuwa wa kuokoa, nao moto wa machafuko yangu ukanishikiza.
6
Basi, nikayoponda makabila ya watu kwa makali yangu, nikawalevya kwa moto wa machafuko yangu nilipozimwaga damu zao chini.
7
*Nitawakumbusha magawio ya Bwana na kumtukuza Bwana kwa ajili yao yote, aliyotutendea Bwana; mema yake ni mengi, aliyoutendea mlango wa Isiraeli kwa huruma zake aliwagawia mengi.
8
Akasema: Kumbe hawa ndio walio ukoo wangu, ndio wanangu, hawataongopa; akawa mwokozi wao.
9
Katika masongano yao yote naye alikuwa amesongeka; ndipo, malaika aliyetoka usoni kwake alipowaokoa, kwa kuwapenda na kwa kuwaonea uchungu akawakomboa yeye mwenyewe, akawaokota, akawachukua siku zote za kale.
10
Lakini wakaacha kumtii, wakaisikitisha Roho yake takatifu; ndipo, alipogeuka kuwa adui yao, akapigana nao mwenyewe.
11
Ndipo, wao walio ukoo wake walipozikumbka siku za kale, siku za Mose, wakasema: Yuko wapi aliyewatoa baharini pamoja na mchungaji wa kundi lake?
12
Kwa mkono wake wenye utukufu alimwongoza Mose alipomshika mkono wake wa kuume, akayatenga maji mbele yao, ajipatie Jina la kale na kale.
13
Akawapitisha vilindini kama farasi nyikani, wasijikwae.
14
Kama kundi linavyotelemka bondeni, ndivyo, roho ya Bwana ilivyowapeleka pa kupumzikia. Hivyo ndivyo, ulivyowaongoza walio ukoo wako, ujipatie Jina lenye utukufu.
15
Chungulia toka mbinguni! Tazama toka Kao lako takatifu lenye utukufu! Wivu wako uko wapi? Matendo yako ya nguvu yako wapi? Huruma zako zinazovuma moyoni mwako zimejizuia, zisifike kwangu.
16
Kwani wewe ndiwe baba yetu; kwani Aburahamu hakutujua, wala Isiraeli hakututambua. Wewe Bwana ndiwe baba yetu; Mkombozi wetu ndilo jina lako la kale.*
17
Mbona umetupoteza, Bwana, tukaziacha njia zako? Mbona umeishupaza mioyo yetu, isikuogope? Rudi kwa ajili ya watumishi wako walio milango ya fungu lako!
18
Ilikuwa kitambo kidogo tu, watu wako watakatifu walipokuwa wenye mafungu yao, kisha wao waliotusonga walipaponda Patakatifu pako,
19
tukawa watu, usiowatawala tangu kale, wasiolitambikia Jina lako.
← Chapter 62
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 64 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66