bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 42
Isaiah 42
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 41
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 43 →
1
Mtazameni mtumishi wangu, nimshikizaye! Mtazameni mteule wangu, ambaye Roho yangu inapendezwa naye! Nitamtia Roho yangu, awatolee wamizimu habari, ya kwamba hukumu yao iko.
2
Hatapiga kelele, wala hatalia, wala hatapaza sauti yake njiani.
3
Utete uliokunjika hatauvunja, wala utambi unaotoka moshi bado hatauzima, aitokeze ile hukumu kuwa ya kweli.
4
Hatazimia, wala hatashindika, mpaka yanyokayo ayashikize katika nchi, navyo visiwa vitayangoja maonyo yake.
5
Hivi ndivyo, anavyosema Mungu Bwana aliyeziumba mbingu na kuziwamba, aliyeitanda nchi na mazao yake; watu walioko aliwapa pumzi, nazo roho aliwapa wao watembeao huku.
6
(Anasema:) Mimi Bwana nimekuita, kwa kuwa ni mwongofu, na nikushike mkono wa kukulinda, nikuweke kuwa agano la watu na mwanga wa wamizimu,
7
ufumbue macho ya vipofu, utoe wafungwa kifungoni, nao wakaao gizani uwatoe nyumbani, wanamolindwa.
8
Mimi ni Bwana, hili ndilo Jina langu. Sitampa mwingine utukufu wangu, wala sitavipa vinyago mashangilio yangu.
9
Mkitazama, yale ya kwanza yametimia, tena sasa mimi ninatangaza mapya; yanapokuwa hayajatokea bado, nawapasha ninyi habari zao.
10
Mwimbieni Bwana wimbo mpya na kumshangilia kwenye mapeo ya nchi, ninyi mtembeao baharini nayo yote yaliyomo, ninyi visiwa nao wakaao huko!
11
Nazo nyika na miji iliyoko ipaze sauti pamoja na vijiji, Wakedari wakaamo! Wakaao magengeni na wapige shangwe, nako vilimani kileleni na wapige makelele!
12
Na wamtukuze Bwana! Na wayatangaze mashangilio yake visiwani!
13
Bwana atatokea kama mwenye nguvu, kama mpiga vita atauamsha ukali, atapiga yowe na vilio, awatolee adui zake nguvu.
14
Nimenyamaza tangu kale, nikatulia na kujizuia; lakini sasa nitalia pamoja na kufoka na kutweta kama mwanamke anayezaa.
15
Nitachoma milima na vilima, niyanyaushe majani yao yote, nayo majito nitayageuza kuwa nchi kavu, hata mabwawa nitayakausha.
16
Lakini vipofu nitawatembeza katika njia, wasizozijua, katika mikondo, wasiyoijua, nitawaendesha, nitaligeuza giza lililoko mbele yao kuwa mwanga, napo palipopotoka nitapanyosha. Maneno haya nitayafanya, sitayaacha.
17
Hapo watakuwa wamerudi nyuma kwa kutiwa soni kabisa wao walioviegemea vinyago, walioviambia vinyago vilivyoyeyushwa kwa shaba: Ninyi m miungu yetu.
18
Ninyi viziwi, sikilizeni! Ninyi vipofu, chungulieni, mpate kuona!
19
Kipofu yuko nani, asipokuwa mtumishi wangu? Aliye kiziwi kama mjumbe wangu wa kumtuma yuko nani? Yuko nani aliye kipofu kama mpendwa? Yuko nani aliye kipofu kama mtumishi wa Bwana?
20
Uliona mengi, lakini hukuyaangalia; alikuzibua masikio, lakini hayakusikia.
21
Bwana kwa hivyo, alivyo mwongofu, akapendezwa kuyakuza na kuyatukuza Maonyo.
22
Lakini sasa ukoo huu ni ukoo wa watu walionyang'anywa na kupokonywa mali zao, wote pia wamenaswa miinani, wakafichwa nyumbani mwa kufungia watu, wakatekwa, tena hakuna aliyewaopoa, wakapokonywa mali zao, tena hakuna aliyesema: Rudisha!
23
Kwenu yuko nani atakayeyasikia hayo? Yuko nani atakayeyaangalia atakapoyasikia huko nyuma?
24
Ni nani aliyemtoa Yakobo, apokonywe mali zake? Ni nani aliyemtia Isiraeli mikononi mwa wanyang'anyi? Si mimi Bwana, waliyemkosea, walipokataa kuzishika njia zangu na kuyasikia Maonyo yangu?
25
Ndipo, alipowamiminia makali yake yaliyo yenye moto na makorofi ya vita, yakamzunguka na kumchoma lakini hakujua maana, yakamwunguza, lakini hayakumfikia moyoni.
← Chapter 41
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 43 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66