bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 2
Isaiah 2
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 1
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 3 →
1
Hili ni neno, Yesaya, mwana wa Amosi, aliloliona la Yuda na la Yerusalemu:
2
*Mwisho wa siku utakapotimia, mlima wenye Nyumba ya Bwana utakuwa umeshikizwa na nguvu, uwe wa kwanza wa milima, uende juu kuliko vilima vingine, hata wamizimu wote wataukimbilia.
3
Makabila mengi ya watu watakwenda wakisema: Njoni, tupande mlimani kwa Bwana kwenye Nyumba ya Mungu wa Yakobo! Atufundishe, njia zake zilivyo, tupate kwenda na kuifuata mikondo yake! Kwani ufundisho utatoka Sioni, namo Yerusalemu litatoka Neno la Bwana.
4
Ndipo, atakapowaamulia wamizimu na kuyapatiliza makabila mengi ya watu; nao watazifua panga zao kuwa majembe, hata mikuki yao kuwa miundu, kwani halitakuwako tena kabila litakalochomolea jingine upanga, wala hawatajifundisha tena mapigano ya vita.
5
Mlio wa mlango wa Yakobo, njoni, tuendelee pamoja katika mwanga wa Bwana!*
6
Kwani umewatupa wao waliokuwa ukoo wako, wale wa mlango wa Yakobo, kwani wamejaa mambo yatokayo maawioni kwa jua, huagulia mawingu kama Wafilisti, hufanya maagano nao vijana wa nchi ngeni.
7
Nchi yao ikajaa fedha na dhahabu, malimbuko yao hayana mwisho; nchi yao ikajaa farasi, magari yao hayana mwisho.
8
Nchi yao ikajazwa vinyago; huziangukia kazi za mikono yao, walizozitengeneza kwa vidole vyao.
9
Watu wakavinyenyekea, mabwana nao wakaviinamia; hivi hatawaondolea kabisa.
10
Nenda magengeni! Jifiche uvumbini! Usiuone uso wake ukutishao wala utukufu wa ukuu wake!
11
Macho ya watu wajivunao yatanyenyekezwa, nao waume wajikwezao watainamishwa, kwa maana atakayetukuka siku ile ni Bwana peke yake.
12
Kwani siku ya Bwana Mwenye vikosi itawajia watu, wanyenyekezwe wenye majivuno na ukuu, nao wajitukuzao;
13
nayo miangati ya Libanoni iliyo mikubwa na mirefu, nayo mikwaju yote ya Basani inyenyekezwe,
14
nayo milima mirefu yote, hata vilima vyote vinavyokwenda juu sana;
15
nayo minara mirefu yote, hata maboma yote yenye nguvu;
16
nazo merikebu zote za Tarsisi ziletazo mali na vitu vizuri vyote pia, watu wanavyovitamani.
17
Nao watu wajivunao watainamishwa, hata waume wajikwezao watanyenyekezwa, kwa maana atakayetukuka siku ile ni Bwana peke yake,
18
navyo vinyago vitatoweka vyote pia.
19
Ndipo, watakapokwenda mapangoni kwenye magenge namo mashimoni kwenye nchi kavu, wasiuone uso wa Bwana uwatishao wala utukufu wa ukuu wake, atakapoinuka kuistusha nchi.
20
Siku ile watu watavikupa vinyago vyao, ijapo viwe vya fedha na vya dhahabu; hivyo, walivyojifanyizia vya kuvitambikia, watavitupa kwenye panya na mapopo,
21
wapate kujiendea kwenye nyufa za magenge na kwenye mapango ya miamba, wasiuone uso wa Bwana uwatishao wala utukufu wa ukuu wake, atakapoinuka kuistusha nchi.
22
Sasa waacheni wale watu! Nao puani mwao ni pumzi tu; huwaziwa kuwa nini?
← Chapter 1
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 3 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66