bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 48
Isaiah 48
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 47
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 49 →
1
Yasikieni haya, ninyi wa mlango wa Yakobo! Mnajiita kwa jina la Isiraeli, mlitoka viunoni mwa Yuda, mnaapa na kulitaja Jina la Bwana, naye Mungu wa Isiraeli mnamtukuza; lakini si kwa kweli wala kwa wongofu.
2
Wanajiita kwa jina la mji mtakatifu, wanajishikiza kwake Mungu wa Isiraeli, Bwana Mwenye vikosi na Jina lake.
3
Yale ya mbele, niliyoyatangaza hapo kale, yalitoka kinywani mwangu, nikawaambia, myasikie; maana nitakapoyafanya, yatatimia.
4
Kwani nimekujua, ya kuwa u mgumu, ya kuwa ukosi wako ni mshipa wa chuma, ya kuwa kipaji cha uso wako ni shaba.
5
Nikakutangazia hapo kale, nikakuambia uyasikie, yalipokuwa hayajatimia bado, usiseme: Kinyago changu kimeyafanya! wala: Kinyago changu cha mti uliochongwa au cha shaba iliyoyeyushwa kimeyaagiza!
6
Umeyasikia, basi, yatazame hayo yote! Mbona ninyi hamyaungami? Tangu sasa ninakuambia mapya, uyasikie, ni mambo yaliyofichwa, usiyoyajua bado.
7
Yameumbwa sasa, si kale; mpaka leo hukuyasikia bado, usiseme: Hayo nimekwisha kuyajua.
8
Kweli hukuyasikia, wala hukuyajua, wala masikio yako hayajazibuka, kwani nimekujua, ya kuwa u mdanganyifu, ukaitwa mpotovu tangu kuzaliwa kwako.
9
Ni kwa ajili ya Jina langu, nikayakawilisha makali yangu kwa kwamba: Na wanishangilie, nikajizuia, nisikujie, nikakung'oa.
10
Tazama! Nimekung'aza na kukuyeyusha, lakini sikukuona kuwa fedha; nikakujaribu na kukutia motoni mwenye mateso.
11
Kwa ajili yangu mimi nimeyafanya, Jina langu lisitiwe uchafu; maana utukufu wangu sitampa mwingine.
12
Nisikilize, Yakobo, nawe Isiraeli, niliyekuita! Mimi ndiye! Mimi ni wa kwanza, tena mimi ni wa mwisho.
13
Mkono wangu ndio uliozishikiza nchi, mkono wangu wa kuume ndio ulioziwamba mbingu; ninapoyaita yawayo yote, ndipo, yanapotokea.
14
Kusanyikeni ninyi nyote, msikie! Kwao yuko nani aliyeyatangaza haya ya kwamba: yeye, Bwana ampendaye, ataufanyia Babeli yampendezayo, nao mkono wake utawatokea Wakasidi?
15
Mimi ndimi niliyeyasema! Kisha nikamwita, nikamleta, naye na aitimize njia yake.
16
Nifikieni karibu, myasikie haya! Tangu mwanzo sijasema mafichoni, tangu hapo yalipokuwapo mimi nipo! Na sasa Bwana Mungu amenituma na kunipa roho yake.
17
Ndivyo, anavyosema Bwana aliyekukomboa, aliye Mtakatifu wa Isiraeli: Mimi Bwana ndimi Mungu wako; ninakufundisha yafaayo, ninakuongoza katika njia, utakayoishika.
18
Kama ungaliyaangalia maagizo yangu, utengemano wako ungalikuwa kama mto, nao wongofu wako ungalikuwa kama mawimbi ya bahari.
19
Wao wa uzao wako wangalikuwa wengi kama mchanga, nao waliotoka mwako wangalikuwa wengi kama vijiwe vya chembe yake. Majina yao hayatang'olewa hayataangamia mbele yangu.
20
Tokeni Babeli! Wakimbieni Wakasidi! Yatangazeni na kupiga vigelegele, yasikilike mpaka mapeoni kwa nchi, mkiyatokeza kwamba: Bwana amemkomboa mtumishi wake Yakobo!
21
Hawakupata kiu, alipowapitisha majangwani, akawatolea maji miambani; alipopasua miamba, maji yakabubujika.
22
Lakini hakuna utengemano kwo wasiomcha Mungu; ndivyo, Bwana anavyosema.
← Chapter 47
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 49 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66