bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 58
Isaiah 58
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 57
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 59 →
1
Ita kwa kinywa kikuu! Usijizuie! Paza sauti yako, kama ni baragumu! Walio ukoo wangu watangazie mapotovu yao! Walio mlango wa Yakobo watangazie makosa yao!
2
Kweli siku kwa siku hunitafuta, hutaka kuzijua njia zangu, kama ni watu wafanyao yaongokayo, kama ni watu wasioyaacha yampasayo Mungu wao; wakaniuliza mashauri yaongokayo wakinitaka mimi Mungu, niwafikie karibu.
3
Husema: Mbona huoni, tukifunga mifungo? Mbona hujui, tukizisumbua roho zetu? Lakini tazameni: Siku mnapofunga hufuata mambo, myapendayo, nao wakazi wenu huwashurutisha kuja kazini.
4
Tazameni: Mnapofunga hugombana na kutetena, mkapigana makonde, kwani hammchi Mungu, hamfungi kwamba: Ni siku ya kumlilia Alioko huko juu.
5
Je? Huo ndio mfungo, nilioupenda, uwe siku, mtu anapojinyima yamfaayo? Mtu akikiinamisha kichwa chake kama unyasi, tena akilalia gunia na majivu,, huo utauita mfungo na siku ya kumpendeza Bwana?
6
Je? Mfungo, nilioupenda sio huu: kufungua mafungo ya ukorofi, kulegeza kamba za utumwa, kuwapa ruhusa waliopondeka, wajiendee, kuvunja utumwa wo wote?
7
Sivyo hivyo? Ukimgawia mwenye njaa mkate wako. ukiingiza nyumbni mwako wakiwa waliofukuzwa, unapoona mwenye uchi ukimpa nguo, usipowakataa walio wa mlango wako?
8
Ukifanya hivyo, ndipo, mwanga wako utakapopambazuka kama mionzi ya jua, ndipo, vidonda vyako vitakapopona upesi, ndipo, wongofu wako utakapokutangulia, nao utukufu wa Bwana utakufuata nyuma.
9
Ndipo, itakapokuwa hivyo: utakapoita, Bwana atakuitikia; utakapolia, atakuambia: Mimi hapa! Lakini kwanza sharti uondoe utumwa katikati yako, uache kunyoshea watu vidole na kusema maovu.
10
Mwenye njaa utakapompa, roho yako iyatakayo nayo, utakapoishibisha roho ya mkiwa, ndipo, mwanga wako utakapotokea gizani, ndipo, weusi wa usiku utakapokuwa kwako kama jua la mchana.
11
Naye Bwana atakuongoza siku zote, aishikize roho yako katika nchi kavu; nayo mifupa yako ataishupaza, uwe kama shamba lililonyweshwa au kama kisima cha maji kisichodanganya kwa kuwa na maji yasiyokauka.
12
Nao watakaotoka kwako watayajenga mabomoko yako ya kale, nayo misingi ya vizazi na vizazi utaitengeneza tena; kwa hiyo watakuita: Mjenga nyufa na Mfufua njia, watu wakae.
13
Kama utaikataza miguu yako siku za mapumziko, isifanye penye siku yangu takatifu yakupendezayo, kama siku ya mapumziko utaiita ya kupendezwa, kwa kuwa ni siku ya Bwana mtakatifu ipasayo kutukuzwa, ukaitukuza na kuacha kuzishika njia zako, usipoyafuata uyapendayo, usipojisemea maneno tu:
14
ndipo, utakapopendezwa na Bwana, nami nitakupitisha kwenye vilima vya nchi, kisha nitakupa nalo fungu la baba yako Yakobo, ulile, kwani kinywa chake Bwana kimeyasema.
← Chapter 57
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 59 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66