bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 46
Isaiah 46
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 45
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 47 →
1
Beli ameanguka, Nebo naye yuko chini, vinyago vyao viko migongoni kwa punda na ng'ombe; vilivyotembezwa nanyi vimefungwa, ikawa mizigo ya kuchokesha nyama wanaoichukua.
2
Wako chini pamoja, kama walivyoanguka pamoja, hawakuweza kuviokoa vinyago, visichukuliwe, wao wenyewe wamekwenda kufungwa kwa kuwa mateka.
3
Nisikilizeni, ninyi mlio wa mlango wa Yakobo! Ninyi wote mlio masao ya mlango wa Isiraeli! Ninyi ndio, niliojitwika tangu hapo, mlipokuwa tumboni mwa mama zenu, ninyi ndio, niliojichukuza tangu hapo, mlipozaliwa.
4
Hata mtakapokuwa wazee, mimi ndimi niliyekuwa; hata mtakapotoka mvi, mimi nitawachukua. Mimi nitayafanya nikijitwika mimi, mimi nitawachukua na kuwaokoa.
5
Yuko nani, ambaye mtanifananisha naye, tuwe sawa? Yuko nani, ambaye mtanilinganisha naye, tufanane?
6
Watu humwaga dhahabu toka mifukoni, hupima fedha kwa mizani, humlipa fundi, naye hufanya mungu, wauangukie na kuutambikia.
7
Kisha huuchukua mabegani, huutembeza, kisha huuweka mahali pake; hapo unasimama pasipo kuondoka mahali pake. Wanapoulilia, hauwaitikii; hakuna, umwokoaye katika shida yake.
8
Haya yakumbukeni, mjishupaze! Yawekeni mioyoni, ninyi wapotovu!
9
Yakumbukeni yale ya mwanzo yaliyokuwapo tangu kale! Kwani mimi ndimi Mungu, hakuna mwingine tena, kweli, hakuna Mungu aliye kama mimi.
10
Tangu mwanzo nayatangaza yatakayokuwa mwisho, toka kale nayasema yasiyofanyika bado. Kila nisemapo, shauri langu litatimia, yote yanipendezayo mimi huyafanya.
11
Ninaita kipanga maawioni kwa jua, katika nchi ya mbali ndiko, ninakotoa mtu atakayelifanya shauri langu. Kama nilivyosema, ndivyo, nitakavyoyatimiza; kama nilivyoyalinganya, ndivyo, nitakavyoyafanya.
12
Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu, ninyi mliojitenga na kuyaacha mbali yaliyoongoka!
13
Yale yaongokayo nimeyafikisha karibu, hayako mbali tena, wokovu wangu haukawilii. Sioni ndimo, nitakamotokeza wokovu, kwao Waisiraeli ndiko, nitakakotokeza utukufu wangu.
← Chapter 45
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 47 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66