bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 62
Isaiah 62
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 61
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 63 →
1
Kwa ajili ya Sioni sitanyamaza, kwa ajili ya Yerusalemu sitapumzika, mpaka yaupasayo yatokee kama mwangaza, mpaka wokovu wake uwe kama mwenge uwakao.
2
Ndipo, wamizimu watakapoona yaliyokupasa, nao wafalme wote watauona utukufu wako, nawe utaitwa kwa jina jipya, kinywa cha Bwana kitakalolitaja.
3
Ndipo, utakapokuwa urembo wa kichwa wenye utukufu mkononi mwa Bwana, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.
4
Hutaambiwa tena: Umeachwa! Wala nchi yako haitaambiwa tena: Ni pori tupu, ila utaitwa: Hunipendeza, nayo nchi yako itaitwa: Ameolewa, kwani Bwana atapendezwa na wewe, nayo nchi yako itaolewa.
5
Kwani kama mchumba mume anavyomchukua mwali, ndivyo, wanao watakavyokuchukua wewe, kama mwenye ndoa anavyomfurahia mchumba wake, ndivyo, Mungu wako atakavyokufurahia.
6
*Bomani kwako, Yerusalemu, nimeweka walinzi juu, mchana kutwa na usiku kucha wasinyamaze kamwe. Ninyi mnaolitangaza Jina la Bwana, msiwe kimya!
7
Wala msimwache Bwana kuwa kimya, mpaka aushikize Yerusalemu tena na kuuweka, utukuzwe katika nchi!
8
Bwana ameapa na kuutaja mkono wake wa kuume ulio na nguvu kwamba: Sitazitoa tena ngano zako, ziliwe na adui zako, wala wana wa nchi ngeni wasinywe tena pombe zako, ulizozisumbukia.
9
Ila watakaozivuna ndio watakaozila, wamshukuru Bwana, nao watakaozichuma ndio watakaozinywa nyuani penye Patakatifu pangu.
10
Piteni mlangoni, mwitengeneze njia yao walio ukoo wetu! Chimbeni! Ichimbeni barabara na kuyaondoa mawe! Twekeni bendera, makabila ya watu yaione!
11
Angalieni! Bwana anatangaza mapeoni kwa nchi kwamba: Mwambieni binti Sioni: Tazama, wokovu wako unakuja! Tazama, mshahara wake wa kulipa anao, nayo mapato yake yako mbele yake.
12
Nao watawaita: Ukoo mtakatifu ulio wao waliokombolewa na Bwana, nawe utaitwa Mji uliotafutwa, usioachwa tena.*
← Chapter 61
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 63 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66