bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 33
Isaiah 33
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 32
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 34 →
1
Mwenye kuapizwa ni wewe mkorofi usiyekorofishwa bado, mwenye kuapizwa ni wewe mpokonyi usiyepokonywa bado. Utakapomaliza kukorofisha utakorofishwa, utakapomaliza kupokonya utapokonywa!
2
Bwana, tuwie mpole! Wewe tumekungojea; uwe mkono wao kila kunapokucha! Uwe nao wokovu wetu, tunaposongeka!
3
Waliposikia sauti ya uvumi, makabila ya watu yalikimbia, wewe ukiinuka, wamizimu hutawanyika.
4
Ndipo, mateka yenu yatakapookotwa, kama watu wanavyookota nzige; kama funutu wanavyojikimbilia, ndivyo, watakavyojikimbilia.
5
Bwana ametukuka, kwani anakaa juu, hujaza Sioni maamuzi yaongokayo.
6
Ndipo, siku zako zitakapokuwa zimeelekea pamoja, yenye werevu wa kweli na utambuzi yatakuwa malimbiko ya kujisaidia, kumwogopa Bwana ndiko kutakakokuwa mali zake Sioni.
7
Wasikilizeni wanguvu wao wanaopiga makelele huko nje, wajumbe wa kuomba utengemano wanalia kwa uchungu.
8
Barabara ziko peke yao, hakuna apitaye njiani. Amevunja agano kwa kuibeza miji na kwa kuwawazia watu kuwa si kitu. Nchi inazimia kwa kusikitika:
9
Libanoni kumekauka kwa kuona soni, Saroni kumegeuka kuwa kama nyika, Basani na Karmeli kumepakatika majani.
10
Ndivyo, anavyosema Bwana: Sasa nitainuka, sasa nitajitukuza, sasa nitaoneka.
11
Kwa kuwa mimba zenu ni za majani makavu, mtazaa mabua makavu tu; kufoka kwenu ni moto utakaowala wenyewe.
12
Ndipo, makabila ya watu yatakapochomwa kama chokaa, watakuwa kama miiba iliyokatwa ya kuteketezwa na moto.
13
Sikieni, ninyi mkaao mbali, mliyoyafanya! nanyi mkaao karibu, zijueni nguvu zangu!
14
Wakosaji walioko Sioni wamestuka, tetemeko likawashika wapotovu, wakasema: Kwetu sisi yuko nani awezaye kukaa penye moto ulao? Kwetu sisi yuko nani awezaye kukaa penye majiko yasiyozima kale na kale?
15
Ni yeye aendeleaye kwa wongofu naye asemaye yanyokayo, naye akataaye mapato ya ukorofi naye akung'utaye mikono yake, isishike mapenyezo, naye ayazibaye masikio yake, asisikie mashauri ya damu zilizomwagwa, naye ayafumbaye macho yake, asiyaone mabaya.
16
Ndiye atakayekaa juu: maboma yaliyoko magengeni yatakuwa ngome yake, mkate atapewa tu, nayo maji yake hayatakauka.
17
Macho yako yatamwona mfalme katika uzuri wake, yataiona nayo nchi, jinsi itakavyopanuka.
18
Moyo wako utakapoyawaza yale mastusho utasema: Yuko wapi mwenye kuhesabu fedha? Yuko wapi mwenye kuzipima? Yuko wapi mwenye kuihesabu minara?
19
Lile kabila lenye ukorofi hulioni tena, ndimi zao zikagugumiza tu maneno yasiyokuwa na maana.
20
Utazameni Sioni ule mji wetu wa kukusanyikiamo! Macho yako yataona, ya kuwa Yerusalemu ni kao lisilosumbua, ni hema lisilosafiri, mambo zake hazing'olewi kale na kale, kamba zake zote hazikatiki kamwe.
21
Kwani huko Bwana mwenye utukufu atakuwa kwetu, atukingie penye mito mikubwa yenye mikono mipana, mitumbwi ya kuvukia haitapatikana, wala vyombo havitapita hapo.
22
Kwani Bwana ni mwamuzi wetu, Bwana ndiye atakayetuongoza, Bwana ni mfalme wetu, yeye ndiye atakayetuokoa.
23
Kamba zako zilikuwa zimelegea, hazikuukaza ulingo wa mlingoti wao, wala hazikutanda tanga; ndipo, mateka mengi mazuri yatakapogawanywa, nao waendao pecha wataweza kujitwalia mateka.
24
Hapataonekana mwenyeji atakayesema: Nimeugua, kwani watu watakaokaa mle watakuwa wameondolewa manza, walizozikora.
← Chapter 32
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 34 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66