bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 53
Isaiah 53
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 52
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 54 →
1
*Yuko nani anayeutegemea utume wetu? Yuko nani aliyefumbuliwa, mkono wake Bwana unayoyafanya?
2
Alikua machoni pake kama mche, kama chipuko la shina lililoko katika nchi kavu, hakuwa mwenye uzuri wala mwenye utukufu wa mwili, tulipomtazama, hakuna umbo lililotupendeza.
3
Akabezwa, akaachwa na watu, akajulikana kuwa mwenye maumivu, akabezwa kama mtu, watu wanayemfichia nyuso zao, tukamwazia kuwa si kitu.
4
Kumbe ameyachukua manyonge yetu, akajitwisha maumivu yetu, nasi tukamwazia kwamba: Ameteswa na Mungu, akapigwa naye, anyongeke.
5
Kumbe ilikuwa kwa ajili ya mapotovu yetu, akichomwa, akaumizwa kwa ajili ya manza zetu, tulizozikora sisi; akapatilizwa, sisi tupate kutengemana, namo katika mavilio yake ndimo, tulimoponea.
6
Sote tulikuwa tumepotea kama kondoo, kila mtu akiishika njia yake, naye Bwana akampigia manza, tulizozikora sisi wote.
7
Alipoonewa yeye amevumilia tu, hakukifumbua kinywa chake kama kondoo, akipelekwa kuchinjwa; au kama mwana kondoo anavyowanyamazia wenye kumkata manyoya, hakukifumbua kinywa chake.
8
Ameuawa kwa kusongwa na kwa kunyimwa uamuzi mnyofu, lakini kwao wa kizazi chake yuko nani ayawazaye kwamba: Ameondolewa katika nchi yao walio hai, alipopigwa kwa ajili ya upotovu wao walio ukoo wake?
9
Wakampa kaburi lake pamoja nao wasiomcha Mungu, alipokwisha kufa akazikwa pake mwenye mali, naye hakufanya ukorofi, uwongo tu haukuonekana kinywani mwake.
10
Lakini Bwana alipendezwa na kumwumiza, asipone, kwamba: Atakapojitoa kuwa ng'ombe ya tambiko ya upozi kwa ajili ya makosa ya watu, ndipo, atakapopata mazao, ndipo, siku zake zitakapoanzia kuwa nyingi, nayo yampendezayo Bwana yatatimizwa na mkono wake.
11
Kwa kuwa roho yake imesumbuliwa, na aone mapato ya kumshibisha; naye alivyo mtumishi wangu mwongofu, ndivyo, atakavyopatia wengi wongofu kwa ujuzi wake, kwani amejitwisha manza zao, walizozikora.
12
Kwa hiyo nitamgawia wengi, wawe fungu lake, naye atawagawia wanguvu mateka yao, yawe mafungu yao, kwa kuwa ameimwaga roho yake, ife, akahesabiwa kuwa mwenzao wapotovu. Naye ameyachukua makosa ya watu wengi, akawaombea nao wapotovu.*
← Chapter 52
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 54 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66