bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 41
Isaiah 41
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 40
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 42 →
1
Ninyi visiwa, nyamazeni mbele yangu! nayo makabila ya watu na yajipatie nguvu mpya, watu na wakaribie, kisha waseme! Sote pamoja na tuje kushindana shaurini!
2
Yuko nani aliyeamsha mtu maawioni kwa jua? Naye huyo mtu ndiye, aliyemwita mwongofu, akampatia pa kuiwekea miguu yake. Yuko nani aliyemtolea huyu mataifa, awakanyage wafalme wao, upanga wake uwaponde, wawe kama mavumbi, nao upindi wake uwatawanye kama makapi yapeperushwayo?
3
Anapowakimbiza mwenyewe hupita salama. ijapo miguu yake isije kushika njia ya watu.
4
Yuko nani aliyevitengeneza na kuvifanya? Yuko nani aliyeviita vizazi toka mwanzo? Ni mimi Bwana niliye wa mwanzo na wa mwisho, mimi ndiye.
5
Visiwa vimeyaona, vikaogopa, mapeo ya nchi yakatetemeka: Wanakuja! Wamekwisha kufika karibu!
6
Wakasaidiana kila mtu na mwenziwe, wakaambiana mtu na ndugu yake: Kaza nguvu!
7
Mafundi wa vinyago wakawashupaza wafua dhahabu, nao wenye kuteleza dhahabu kwa nyundo ndogo wakawashupaza wapiga fuawe wakisema: Tindikali ni njema, kisha wakavipigilia misumari, visitikisike.
8
Nawe Isiraeli uliye mtumishi wangu, nawe Yakobo, niliyekuchagua, ndiwe uzao wa mpenzi wangu Aburahamu.
9
Nilikushika, nikakutoa kwenye mapeo ya nchi, nikakuita pembeni kwake, nikakuambia: Wewe u mtumishi wangu, nimekuchagua, sijakukataa.
10
Usiogope! Kwani mimi niko pamoja na wewe! Usitupe macho po pote! Kwani mimi ndimi Mungu wako, ninakutia nguvu, ninakusaidia, ninakushikiza kwa mkono wangu wa kuume, nao huyanyosha yaliyopotoka.
11
Tazama! Wote waliokutolea ukali watapatwa na soni, watamalizika, watakuwa, kama si kitu; nao waliotaka kukushinda wataangamia.
12
Utawatafuta, usiwaone waliokupingia, waliopigana na wewe watakuwa kama si kitu chenye maana.
13
Kwani mimi Bwana ndimi Mungu wako, ninaushupaza mkono wako wa kuume, ninakuambia: Usiogope! Mimi ninakusaidia!
14
Usiogope, wewe Yakobo uliye kidudu, nawe Isiraeli uliye kikosi kidogo! Mimi ninakusaidia! Ndivyo, asemavyo Bwana aliyekukomboa, aliye Mtakatifu wa Isiraeli.
15
Tazama! Nimekuweka kuwa gari jipya la kupuria lililo lenye meno makali, uiponde milima na kuibungua, vilima navyo uvifanye kuwa kama makapi.
16
Utaipepeta, nao upepo utaichukua, nacho kimbunga kitaitawanya; nawe utampigia Bwana vigelegele, utamshangilia Mtakatifu wa Isiraeli.
17
Wanyonge na wakiwa wako katika kutafuta maji, lakini kwa kuwa hayako, ndimi zao zimekauka kwa kiu, lakini mimi Bwana nitawaitikia, mimi Mungu wa Isiraeli sitawaacha.
18
Nitatoa majito kwenye vilima vikavu, namo mabondeni katikati nitatoa chemchemi, nyika nitaigeuza kuwa ziwa la maji, namo jangwani maji yataonekana.
19
Nitaotesha nyikani miangati na migunga na vihagilo na mibono; huko nyikani nitaweka mivinje na mitamba na mizambarau,
20
kusudi wapate kuyaona na kuyatambua, wayaweke mioyoni na kujifundisha wote pamoja, ya kuwa mkono wa Bwana umeyafanya hayo, ya kuwa Mtakatifu wa Isiraeli ameyaumba.
21
Yaleteni mabishano yenu! ndivyo, Bwana anavyosema; yafikisheni mambo yenu magumu! ndivyo, mfalme wa Yakobo anavyosema.
22
Yafikisheni na kutusimulia yatakayokuwa! Yale ya mbele tuelezeeni maana yao, tuyaweke mioyoni, tupate kuyatambua nayo ya nyuma! Nayo yajayo tuambieni!
23
Yatangazeni yatakayokuja nyuma, tujue, ya kuwa ninyi m miungu! Fanyizeni tu mambo yakiwa mema au mabaya, tuyastaajabu tutakapoyaona!
24
Tazameni! Ninyi m wa bure, nazo kazi zenu huwa si kitu, anayewachagua ninyi hutapisha.
25
Mimi nimeamsha mtu upande wa kaskazini, akaja; nimemtoa maawioni kwa jua atakayelitambikia Jina langu. Akawajia wakuu na kuwawazia kuwa mchanga, awaponde, kama mfinyanzi anavyoponda udongo.
26
Yuko nani aliyeyaagua tangu mwanzo, tukayajua? Yuko nani aliyeyasema kale, tukayaitikia kwamba: Amesema kweli? Lakini hakuna aliyeyaagua, kweli hakuna aliyeyatangaza, wala hakuna aliyeyasikia maneno yenu.
27
Wa kwanza mimi nimeuambia Sioni: Yatazameni! Yako! Namo Yerusalemu nimetuma mjumbe, apige mbiu njema.
28
Lakini nilipotazama, hakuwako mtu; nako kwao hao hakuwako wa kunipa shauri, nikimwuliza, anipe majibu.
29
Tazameni! Wote pamoja ni wa bure, nazo kazi zao huwa si kitu, vinyago vyao ni upepo mtupu pasipo maana.
← Chapter 40
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 42 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66