bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 25
Isaiah 25
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 24
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 26 →
1
Bwana, wewe ndiwe Mungu wangu, na nikutukuze, na nilishukuru Jina lako, kwani umefanya mataajabu, mashauri yako ya kale hayakugeuka, yametimia kweli.
2
Kwani mji umeugeuza kuwa chungu la mawe, mji wenye boma ukawa mabomoko, majumba ya wageni hayafikiwi tena, kwani mji hautajengwa kale na kale.
3
Kwa hiyo watu wenye nguvu wanakutukuza, nayo miji ya watu wa kimizimu waliokuwa wenye ukorofi inakuogopa.
4
Kwani umekuwa ngome ya wanyonge na ngome ya wakiwa, waliposongeka, ukawa kimbilio penye kimbunga na kivuli penye jua kali, kwani kufoka kwao wakorofi ni kama kimbunga ukutani,
5
au kama jua kali jangwani. Makelele ya wageni ukayanyamazisha; kama jua kali linavyoshindwa na kivuli cha wingu, ndivyo, shangwe za wakorofi zilivyonyenyekezwa.
6
Bwana Mwenye vikosi atayafanyia makabila yote ya watu karamu ya manono huku mlimani, itakuwa karamu yenye mvinyo kali na vilaji vyenye mafuta ya kiini, nazo mvinyo hizo zitakuwa zimechujwa.
7
Mlimani huku atayatowesha mabuibui ya nyuso, ni mabuibui yaliyoyafunika makabila yote ya watu, hata mafuniko, yaliyotandwa juu ya wamizimu wote.
8
Kufa nako atakumeza, kutoweke kale na kale; kisha Bwana Mungu atayafuta machozi nyusoni pao wote, nayo matwezo yao walio ukoo wake atayaondoa katika nchi zote, kwani Bwana amevisema.
9
Siku ile watasema: Mtazameni huyu! Ndiye Mungu wetu, tuliyemngojea, atuokoe; huyu ndiye Bwana, tuliyemngojea. Na tushangilie! Na tuufurahie wokovu wake!
10
Kwani mkono wake Bwana utatulia mlimani huku, lakini Wamoabu watakanyagwa kwao, kama majani makavu yanavyokanyagwa majini penye mavi.
11
Ijapo wapanue mikono yao mle ndani, kama mwogeleaji anavyoipanua, apate kuogelea. lakini kwa kuwa walijikuza, yeye atawainamisha chini pamoja na mikono yao ihimizayo mizungu ya bure.
12
Hata maboma yenu yenye kuta ndefu atayanyenyekeza, akiyainamisha na kuyaangusha chini uvumbini.
← Chapter 24
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 26 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66