bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 52
Isaiah 52
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 51
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 53 →
1
Amka! Amka! Ivae nguvu yako, Sioni! Zivae nguo zako tukufu, Yerusalemu, ulio mji mtakatifu! Kwani mwako hatamwingia tena asiyetahiriwa wala mwenye uchafu.
2
Yakung'ute mavumbi, kisha inuka, upate kukaa, Yerusalemu! Yafungue mafungo yaliyopo shingoni pako, binti Sioni, uliofungwa!
3
Kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Mliuzwa bure, kwa hiyo hamtakombolewa kwa fedha.
4
Kwani hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Misri ndiko, walikotelemkia kwanza walio ukoo wangu, wakae huko; lakini Waasuri wamewakorofisha bure.
5
Sasa inakuwaje? Ninapata nini hapo? ndivyo, asemavyo Bwana. Walio ukoo wangu wamechukuliwa bure, nao wanaowatawala hulia kwa furaha, tena siku zote Jina langu hutukanwa; ndivyo, asemavyo Bwana.
6
Kwa sababu hii walio ukoo wangu na walijue Jina langu, kweli siku ile watajua, ya kuwa mimi ndimi nisemaye: Nitazameni, nipo!
7
*Tazameni, miguu yake mpiga mbiu njema jinsi inavyopendeza milimani, anapotangaza utengemano, anapopiga mbiu ya mambo mema, anapotangaza wokovu, anapouambia Sioni: Mungu wako ni mfalme!
8
Zisikilize sauti za walinzi wako! Wamepaza sauti pamoja na kupiga shangwe, kwani wanaona na macho yao, Bwana akirudi Sioni.
9
Pigeni shangwe na kupaza sauti, ninyi mabomoko ya Yerusalemu! Kwani Bwana amewatuliza mioyo walio ukoo wake, akaukomboa Yerusalemu.
10
Mkono wake mtakatifu Bwana ameuvua nguo machoni pa makabila yote ya watu, mapeo yote ya nchi yauone wokovu wa Mungu wetu.*
11
Ondokeni! Ondokeni! Tokeni hapa! Msiguse yenye uchafu! Tokeni humu kati! Jitakaseni, ninyi mnaovichukua vyombo vya Bwana!
12
Kwani hamtatoka upesiupesi, wala hamtakwenda na kukimbia, kwani atakayewaongoza ni Bwana, naye atakayewakusanya nyuma ni Mungu wa Isiraeli.
13
Mtazameni mtumishi wangu, jinsi atakavyoendelea kwa welekevu: atatukuka na kukwezwa, awe mkuu kabisa!
14
Kama wengi walivyokustuka, watamstuka naye: kwa kuwa walipomtazama alikuwa amenyongeka kuliko watu, nalo umbo lake halikuwa kama la wana wa watu;
15
ndivyo, atakavyoshangaza makabila mengi ya watu, nao wafalme wafumbe vinywa vyao kwa ajili yake yeye; kwani watakaomwona ndio wasioambiwa Neno lake, nao wasiolisikia watalijua maana.
← Chapter 51
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 53 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66