bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 65
Isaiah 65
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 64
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 66 →
1
Nimetafutwa nao wasioniuliza; nimeonwa nao wasioninyatia. Nimewaambia watu wasiolitambikia Jina langu: Mimi hapa! Mimi hapa!
2
Mchana kutwa naliikunjua mikono yangu kuwaita watu wabishi washikao njia isiyo nzuri, wayafuatao mawazo yao.
3
Ndio watu wanaonikasirisha pasipo kukoma, ijapo niwatazame, hutambika shambani, huvukiza kwenye matofali.
4
Hukaa makaburini, hulala usiku penye mwiko, hula nyama za nguruwe, namo vyomboni mwao mna mchuzi wa kibudu.
5
Husema: Jikalie kwako, usinifikie karibu! kwani mimi ni mwiko kwako; hawa ndio wanaotoa moshi puani mwangu, ndio moto uwakao mchana kutwa.
6
Tazameni! Yameandikwa mbele yangu; sitanyamaza, ila nitayalipiza, kweli nitayalipiza vifuani mwao.
7
Manza zenu, mlizozikora, pamoja nazo za baba zenu na mzilipe, ndivyo, Bwana anavyosema; maana wamevukiza milimani juu, nako vilimani juu wamenibeua. Nami kwanza nitawapimia malipo ya matendo yao, wayachukue vifuani mwao.
8
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Kama watu wanavyosema fumbo la zabibu, maji yao yakingali yamo, kwamba: Usiziangamize! Kwani mbaraka imo, ndivyo, nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu, nisiwaangamize wote.
9
Nitatokeza mzao kwake Yakobo, nako kwake Yuda atakayekuwa mwenye milima yangu, kusudi wao, niliowachagua, waitwae, watumishi wangu wapate kukaa huko.
10
Nako Saroni kutakuwa na malisho ya makundi ya mbuzi na ya kondoo; nalo bonde la Akori litakuwa pa kukalia ng'ombe kwao walio ukoo wangu, kwa kuwa wamenitafuta.
11
Lakini ninyi mliomwacha Bwana, mkausahau mlima wangu mtakatifu, mkamtandikia meza Mwenye kura, naye Mwenye maaguo mkammiminia vinyweo vilivyojaa mvinyo za tambiko,
12
basi, ninyi nimewaagulia kuuawa kwa panga, nyote mpige magoti, mchinjwe, kwa kuwa nilipowaita, hamkujibu, niliposema, hamkusikia, mkayafanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu, mkayachagua, ambayo nilikuwa sipendezwi nayo.
13
Kweli hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Kwa hiyo na mwone: Watumwa wangu watakapokula, ninyi mtaumwa na njaa; watumwa wangu watakapokunywa, ninyi mtaumwa na kiu; watumwa wangu watakapofurahi, ninyi mtaona soni.
14
Watumwa wangu watakapopiga shangwe kwa kuwa na mema mioyoni, ndipo, ninyi mtakapolia kwa kuumia mioyoni, tena mtapiga makelele kwa kupondeka rohoni.
15
Nayo majina yenu mtayaachilia wao, niliowachagua, watayatumia wakitaka kuapiza na kusema: Bwana Mungu na akuue hivyo! Lakini watumishi wangu atawaita kwa majina mengine.
16
Atakayejiombea mema katika nchi atajiombea kwake Mungu mwenye welekevu, atakayeapa katika nchi ataapa na kumtaja Mungu mwenye welekevu, kwani masongano ya kwanza yatakuwa yamesahauliwa, kwani yatakuwa yametoweka machoni pangu.
17
*Tazameni! Mimi nitaumba mbingu mpya na nchi mpya, nazo za kwanza hazitakumbukwa tena, hazitaingia mioyoni tena.
18
Yafurahieni na kuyashangilia kale na kale, nitakayoyaumba mimi! Kwani na mwone, nikiumba Yerusalemu kuwa pa kushangilia nao watu wake kuwa wenye furaha.
19
Nami nitaushangilia Yerusalemu, nitawafurahia walio ukoo wangu. Mwake hamtasikilika tena sauti za vilio wala sauti za maombolezo.*
20
Hatakuwamo tena mnyonyaji wa siku chache, wala mzee asiyezimaliza siku zake; kwani watakaokufa wakingali vijana watakuwa wa miaka mia, nao watakaokufa wenye miaka mia watawaziwa kuwa wakosaji walioapizwa.
21
Watakaojenga nyumba wataikaa, watakaopanda mizabibu wataila matunda yao.
22
Hawatajenga, mwingine akae humo, wala hawatapanda, mwingine ayale, kwani siku za miti zilivyo, ndivyo, siku zao walio ukoo wangu zitakavyokuwa, nayo, wao niliowachagua watakayoyafanya kwa mikono yao, watayatumia wenyewe.
23
Hawatasumbuka bure, wala hawatazaa watoto watakaogunduliwa na kifo, kwani watakuwa mazao yaliyobarikiwa na Bwana, wao wenyewe nao watakaotoka miilini mwao.
24
*Itakuwa hivyo: Watakapokuwa hawajanililia bado, mimi nitawaitikia; watakapokuwa wanasema bado, mimi nitakuwa nimesikia.
25
Mbwa wa mwitu na mwana kondoo watalisha pamoja, naye simba atakula majani kama ng'ombe, naye nyoka mavumbi yatakuwa chakula chake. Hawatafanya mabaya, wala hawataangamizana katika mlima wangu mtakatifu wote.* Ndivyo, Bwana anavosema.
← Chapter 64
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 66 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66