bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 61
Isaiah 61
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 60
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 62 →
1
*Roho ya Bwana Mungu inanikalia, kwa hiyo Bwana amenipaka mafuta, niwapigie maskini mbiu njema. Amenituma, niwaponye waliovunjika mioyo, niwatangazie mateka, ya kuwa watakombolewa, nao waliofungwa, ya kuwa watatolewa mafungoni,
2
niutangaze mwaka wa Bwana upendezao na siku ya lipizi ya Mungu wetu, niwatulize mioyo wote wasikitikao,
3
niwapoze mioyo yao wausikitikiao Sioni, nikiwapa vilemba penye majivu na mafuta ya furaha penye mavazi ya matanga na mashangilio penye roho za kuzimia, watu wawaite Mivule iongokayo na Shamba la Bwana la kujipatia matukuzo.
4
Watayajenga mabomoko yako ya kale, nayo mahame ya siku za mbele watayasimamisha tena, nayo miji iliyo machungu ya mawe tu watairudishia upya, ndiyo iliyokuwa imeangamia kwao vizazi na vizazi.
5
Wageni watasimama hapo wakiyachunga makundi yenu, waliotoka nchi nyingine watakuwa wakulima wenu na watunza mizabibu yenu.
6
Nanyi mtaitwa watambikaji wa Bwana, mtaambiwa: M watumishi wa Mungu wetu; mapato ya wamizimu mtayala, nayo matukufu yao yatakuwa mali zenu.*
7
Penye soni walizotiwa watapata malipo mara mbili, penye matusi watalishangilia fungu lao. Kweli katika nchi yao watakuwa wenye mafungu mawili, tena watapata kuchangamka kale na kale.
8
Kwani mimi Bwana ninapenda maamuzi yapasayo, nikachukiwa nayo yaliyopokonywa kwa upotovu, kwa hiyo nitawapa kwa kweli yayapasayo matendo yao, nitafanya nao agano la kale na kale.
9
Mazao yao yatajulikana kwa wamizimu, nao waliotoka miilini mwao watajulikana katikati ya makabila ya watu; wote watakaowaona watawatambua, ya kuwa ndio mazao yaliyobarikiwa na Bwana.
10
Kufurahi nitamfurahia Bwana, roho yangu itampigia Mungu wangu shangwe, kwani amenivika mavazi ya wokovu, akanifunika kwa kanzu ya wongofu, niwe kama mchumba mume, akiutengeneza urembo wa kichwani kuwa kama wa mtambikaji, au kama mchumba mke, akijipamba na kuvaa vito vyake.
11
Kwani kama nchi inavyoyatoa machipukizi yake, kama shamba linavyozichipuza mbegu zake, ndivyo, Bwana Mungu atakavyochipuza wongofu na mashangilio mbele ya wamizimu wote.
← Chapter 60
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 62 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66