bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 31
Isaiah 31
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 30
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 32 →
1
Yatawapata washukao kwenda Misri kutafuta msaada, wakijishikiza kwa farasi, wakaegemea magari, kwamba ni mengi, hata wapanda farasi, kwamba ni wenye nguvu sana, lakini hawakumtazamia Mtakatifu wa Isiraeli, Bwana hawakumtafuta.
2
Naye ni mwenye werevu wa kweli; kwa hiyo analeta kibaya, nayo maneno yake hayaondoi: nyumba zao wafanyao mabaya ataziinukia, vilevile msaada wao wafanyao maovu.
3
Misri ndio watu tu, sio Mungu; farasi wao ndio nyama, sio roho. Bwana akiukunjua mkono wake, ndipo, huyo mwenye kusaidia anapojikwaa, ndipo, naye mwenye kusaidiwa anapoanguka, wakaanguka wote pamoja.
4
Kwani hivi ndivyo, Bwana alivyoniambia: Itakuwa kama simba au mwana wa simba, akikamata kondoo na kunguruma; kisha wachungaji wakiitana wengi, wamnyang'anye, hazistukii sauti zao, wala hatishiki kwa makelele yao; ndivyo, Bwana Mwenye vikosi atakavyoshuka kupiga vita, mlimani kwa Sioni nako kwenye kilima chake.
5
Bwana Mwenye vikosi ataukingia Yerusalemu kama ndege warukao, kwa kukinga atawaponya, kwa kuwapita atawakomboa.
6
Rudini kwake yeye, mliyemwacha kabisa, ninyi wana wa Isiraeli!
7
Kwani siku ile kila mtu atavikataa vinyago vyake vya fedha na vinyago vyake vya dhahabu, mlivyojitengenezea kwa mikono yenu, vikawakosesha.
8
Ndipo, Waasuri watakapouawa kwa panga zisizo za waume, kweli panga zitawala, lakini sizo za watu; hizo panga watazikimbia, nao vijana wao watakuwa watumwa.
9
Naye aliyekuwa mwamba wao atakimbia kwa woga, nao walio wakuu wao watazimia kwa kuona bendera. Ndivyo, asemavyo Bwana alioko Sioni na moto wake alioko na jiko lake huko Yerusalemu.
← Chapter 30
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 32 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66