bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 8
Isaiah 8
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 7
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 9 →
1
Bwana akaniambia: Jitwalie ubao mkubwa, kauandike kwa kalamu ya kimtu, watu waweze kuusoma: Teka upesi! Pokonya hima!
2
Nami nitachukua mashahidi welekevu, wanishuhudie, ni mtambikaji Uria na Zakaria, mwana wa Yeberekia.
3
Kisha nikafika kwake mfumbuaji wa kike; akapata mimba, akazaa mwana wa kiume. Bwana akaniambia: Ita jina lake Teka upesi! Pokonya hima!
4
Kwani kijana atakapokuwa hajajua kuita: Baba! au: Mama! watu watakuwa wameyachukua mapato ya Damasko na mateka ya Samaria, wakiyapeleka machoni pake mfalme wa Asuri.
5
Bwana akasema tena na mimi mara nyingine akiniambia:
6
Kwa kuwa watu hawa wameyakataa maji ya Siloa yaendayo polepole, wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,
7
kwa sababu hii wataona, Bwana akiwaletea maji makali ya jito kubwa yaliyo mengi; kwani mfalme wa Asuri atakuja na utukufu wake wote. Hapo ndipo, vijito vyote vitakapopanda kwa kuwa na maji mengi, nayo yatapita kingo zao zote.
8
Ataiingia nchi ya Yuda kwa nguvu, maji yatafika mpaka shingoni kwa kujaa na kufurika, nayo mabawa yake yakunjukayo yataieneza nchi yako, Imanueli, ijapo iwe pana.
9
Kasirikeni, ninyi makabila ya watu, kalegeeni kwa kituko! Sikilizeni, nyote mkaao katika nchi za mbali! Jifungeni, kisha legeeni kwa kituko!
10
Pigeni shauri, kisha livunjike! Semeni neno, kisha lisitimie! Kwa kuwa Imanueli yuko.
11
Kwani hivi ndivyo, Bwana alivyoniambia aliponishika mkono na kunionya, nisiifuate njia ya watu wa ukoo huu, akisema:
12
Msiite angamizo vyote, watu wa ukoo huu wanavyoviita angamizo! Wala msiyaogope, wanayoyaogopa, wala msiyastukie!
13
Ila mtakaseni Bwana Mwenye vikosi! Yeye ndiye, mmwogope na kumstukia!
14
Hivyo atakuwa mwenye kutakasa, tena atakuwa jiwe la kujigongea na mwamba wa kujikwalia kwao milango yote miwili ya Isiraeli; nao wakaao Yerusalemu atawawia kama mtego wa tanzi.
15
Wengi watajikwalia papo hapo, waanguke, wachubuke; wengine watanaswa, watekwe.
16
Yafunge, uliyoshuhudiwa! Kisha yatie muhuri pamoja na Maonyo machoni pao wanafunzi wangu!
17
Basi, sasa nitakuwa ninamwegemea Bwana na kumngojea, maana amewaficha uso wake walio mlango wa Yakobo.
18
Tazama, mimi pamoja na hawa watoto, Bwana alionipa, tunakuwa vielekezo na vioja kwao Waisiraeli; ndivyo, alivyotuwekea Bwana Mwenye vikosi akaaye mlimani kwa Sioni.
19
Kama wanawaambia: Watafuteni wajuao kukweza mizimu nao wapunga pepo wanaonong'ona na kusema na sauti ndogo! wajibuni: Wasimtafute Mungu wao, wamwulize? Waulizeje wafu kwa ajili yao walio hai?
20
Yarudieni Maonyo yaliyoshuhudiwa! Kweli wawezao kusema maneno kama yale hawajatokewa bado na mionzi ya jua.
21
Hutangatanga katika nchi kwa kuumizwa na ukiwa na njaa; tena kwa kuumizwa na njaa huchafuka, amtukane mfalme wao na mungu wao na kutazama juu.
22
Kisha hutazama chini tena kwa kusongeka na kukosa mwanga, kwani wamo katika giza, nalo linawaogopesha, kwani wamesukumwa kukaa katika usiku mweusi.
← Chapter 7
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 9 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66