bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 56
Isaiah 56
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 55
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 57 →
1
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Yaangalieni yapasayo, myafanye yaongokayo! Kwani wokovu wangu uko karibu, utokee, nao wongofu wangu na ufunuliwe.
2
Mwenye shangwe ni mtu atakayeyafanya naye mwana wa mtu atakayeyashika, anayeziangalia siku za mapumziko, asizichafue, anayeiangalia mikono yake, isifanye kibaya cho chote.
3
Naye mwana wa nchi ngeni aliyeandamana na Bwana asiseme: Bwana atanitenga kabisa kwao walio ukoo wake! Wala aliyekatazwa kuzaa asiseme: Nitazameni, mimi ni mti mkavu!
4
Kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Waume wasiozaa kama wanazingalia siku zangu za mapumziko, kama wanayachagua yanipendezayo, walishike sana Agano langu,
5
nitawapa nyumbani mwangu na bomani kwangu mahali, ndipo majina yao yakae, napo patakuwa pema kuliko pengine penye wana wa kiume na wa kike; kweli nitawapa majina ya kale na kale yasiyong'oleka.
6
Nao wana wa nchi ngeni walioandama na Bwana, wamtumikie, walipende Jina lake Bwana, wawe watumishi wake, wote waziangaliao siku zake za mapumziko, wasizichafue, walishike Agano lake,
7
hawa nitawapeleka kwenye mlima wangu mtakatifu, niwafurahishe Nyumbani mwangu mwa kuombea, nazo ng'ombe zao za tambiko na vipaji vyao vingine vya tambiko vitanipendeza vitakapotolewa mezani pangu pa kunitambikia, kwani Nyumba yangu itaitwa nyumba ya kuombea kwao makabila yote ya watu.
8
Ndivyo, asemavyo Bwana Mungu anayewakusanya Waisiraeli waliotawanyika: Wako wengine wa kwao, nitakaowakusanya, niwatie kwao waliokusanywa.
9
Ninyi nyama wa porini nyote, nanyi nyama wa mwituni, nyote njoni, mle!
10
Walinzi wa watu wangu ni vipofu wote, hawajui kitu; wote ni mbwa mabubu wasioweza kulia, hulala na kuota ndoto, hupenda kupumzika tu.
11
Tena ni mbwa walafi wasiojua kushiba; hawa walio wachungaji hawajui kitu, wala hawatambui maana, wote wamezishika njia zao, kila hutaka kupata tu, hakuna asiye hivyo.
12
Husema; Njoni, nichukue mvinyo, tunywe, hata tutakapolewa! Vivyo hivyo itakuwa nayo siku ya kesho, iwe sikukuu kabisa kupita cheo.
← Chapter 55
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 57 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66