bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 23
Isaiah 23
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 22
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 24 →
1
Pigeni vilio, ninyi merikebu za Tarsisi! Kwani mji wenu umetoweshwa, hamna nyumba wala kituo; ndivyo, walivyoambiwa katika nchi ya Wakiti.
2
Nyamazeni, ninyi mkaao pwani! Wachuuzi wa Sidoni waliopita baharini waliwaletea yote.
3
Kwenye maji mengi uliletewa yaliyopandwa Sihori nayo yaliyovunwa mtoni kwa Nili, ukawa mahali, mataifa yalipochuuzia.
4
Ona soni, Sidoni! Kwani baharini kwenye ngome ya baharini wako waliolia kwamba: Sikushikwa na uchungu, sikuzaa, wala sikulea vijana, wala sikukuza wanawali.
5
Wamisri watakapoyasikia, watashikwa na uchungu kwa kuzisikia hizo habari za Tiro.
6
Vukeni kuja Tarsisi! Pigeni vilio, mkaao pwani!
7
Je? Huo ndio mji wenu uliopiga vigelegele? uliojengwa siku za kale kabisa? ulioiendesha miguu yenu, mwende katika nchi za mbali kutua kulekule?
8
Ni nani aliyeukatia Tiro shauri hili? Ulikuwa umegawia wengine taji za kifalme, wachuuzi wake walikuwa wakuu wa nchi, nao waliokuwa wenye maduka walitukuzwa kuliko wengine katika nchi.
9
Bwana Mwenye vikosi ndiye aliyelikata shauri lake, auchafue urembo wote, waliojivunia, awanyenyekeze wote waliotukuka katika nchi.
10
Furikieni katika nchi yenu kama mto wa Nili, ninyi wana wa Tarsisi! Hakuna ukingo tena.
11
Bwana ameikunjulia bahari mkono wake, akazitetemesha nchi zenye wafalme, akaagiza, miji ya Kanaani yenye maboma ibomolewe.
12
Akasema: Hutashangilia tena, binti Sidoni, kwa kuwa mwanamwali aliyetiwa soni. Ondoka, uvuke kwenda kwao Wakiti! Lakini nako kule hutapata kutulia.
13
Itazameni nchi ya Wakasidi! Ndio watu wasiokuwa kabila; kwa hiyo Waasuri walitaka kuigeuza nchi yao, iwe kao la nyama wa porini. Lakini sasa wanaisimamisha minara yao ya kulindia, wakayabomoa majumba ya nchi hii na kuyageuza kuwa mabomoko.
14
Pigeni vilio, ninyi merikebu za Tarsisi! Kwani mji wenu uliokuwa na nguvu umetoweshwa.
15
Siku zile mji wa Tiro utakuwa umesahauliwa miaka 70, kama siku za mfalme mmoja zilivyo. Miaka 70 itakapokwisha, Tiro utapata yaliyoandikwa katika wimbo wa mwanamke mgoni ya kwamba:
16
Chukua zeze, utembee mjini, wewe mwanamke mgoni uliyesahauliwa! Kalipige zeze vizuri, uliimbie nyimbo nyingi, ukumbukwe tena!
17
Miaka 70 itakapokwisha, Bwana ataukagua mji wa Tiro, uyarudie mapato ya uasherati wake, ukiufuata ugoni katika nchi zote zenye wafalme zilizoko ulimwenguni.
18
Lakini mapato yake ya uchuuzi na ya uasherati yatakuwa mali za Bwana, hazitalimbikwa, wala hazitawekwa za akiba, ila atakayoyapata kwa uchuuzi wake, watagawiwa wakaao machoni pa Bwana, wapate kula na kushiba, tena wapate kuvaa na kujifunika vema.
← Chapter 22
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 24 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66