bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 59
Isaiah 59
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 58
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 60 →
1
Tazameni: Mkono wake Bwana sio mfupi, usiweze kuokoa, wala masikio yake siyo mazito, yasiweze kusikia.
2
Ila manza zenu, mlizozikora, ndizo zinazowatenga ninyi na Mungu wenu, nayo makosa yenu ndiyo yanayowafichia uso wake asiwasikie.
3
Kwani mikono yenu imechafuliwa na damu, hata vidole vyenu vimechafuliwa na mabaya, viliyoyafanya; midomo yenu husema uwongo, ndimi zenu hunong'ona mapotovu.
4
Hakuna amwitaye mwenziwe shaurini kwa kuyataka yaongokayo, wala hakuna ahukumuye kwa kweli, huyakimbilia yaliyo maovyo tu, hujisemea yasiyo maana, huchukua mimba ya maumivu, huzaa mapotovu.
5
Huangua mayai ya pili, hufuma matandabui; mtu akiyala mayai yao hufa, nalo lipasukalo hutoka nyoka.
6
Matandabui yao hayatumiki kuwa mavazi, hawawezi kujifunika kwa hizo kazi zao; kazi zao ni kazi za upotovu, matendo ya ukorofi yamo mikononi mwao.
7
Miguu yao hukimbilia mabaya, hupiga mbio kuja kumwaga damu zao wasiokosa, mawazo yao ni mawazo mapotovu, maangamizo na mavunjiko huzijulisha njia zao.
8
Lakini njia ya utengemano hawaijui, wala maamuzi yapasayo hayako kwenye mapito yao, mikondo yao wameipotoa, wote waifuatao hawajui utengemano.
9
Kwa sababu hii maamuzi yapasayo yametukalia mbali, nayo yaongokayo hayafiki kwetu. Tukangojea, kuche, lakini tunaona giza tu, tukangojea, kupambazuke, lakini vivyo hivyo tunajiendea na weusi wa usiku.
10
Tunapapasa ukutani kama vipofu, kweli tunapapasa tu kama watu wasio na macho; tunajikwaa na mchana, kama ni jioni, tuko kama wafu kwao walio wenye nguvu.
11
Sisi sote huvuma kama nyegere, hulia, kama hua wanavyolia, tukayangojea yale maamuzi yapasayo, lakini hayako, tukaungojea wokovu, nao ukawa mbali, usifike kwetu.
12
Kwani mapotovu yetu yako mengi mbele yako, nayo makosa yetu yanatusuta; kwani mapotovu yetu yako kwetu, nazo manza zetu tunazijua.
13
Tumemtengua Bwana na kumkana, tukarudi nyuma na kumwacha Mungu wetu, tukasema maoneo na machokozi, tukachukua maneno ya uwongo kama mimba, tukayatoa tena mioyoni.
14
Kwa hiyo maamuzi yapasayo yamerudishwa nyuma, nayo yaongokayo yakasimama mbali; kwani ya kweli yalijikwaa njiani, nayo yaliyo sawa hayakuweza kuingia.
15
Kwa hiyo kweli ikakosekana, naye aliyeacha mabaya hunyang'anywa. Bwana alipoyaona, yakawa mabaya machoni pake, kwa kuwa hakuna maamuzi yapasayo.
16
Akaona, ya kuwa hakuna mtu, akashangaa, ya kuwa hakuna msaidiaji; ndipo, mkono wake ulipomtumikia kuwa wa kuokoa, nao wongofu wake ukamshikiza.
17
Akajivika wongofu kuwa fulana ya chuma kifuani, kichwani akavaa wokovu kuwa kofia, kisha akajivika lipizi kuwa mavazi ya mwili, akajifunika wivu kuwa nguo za juu.
18
Kama matendo yao yalivyo, ndivyo, nayo malipizi yatakavyokuwa: makali yatawatokea waliompingia, nao waliomchukia watafanyiziwa vivyo hivyo, hata visiwa atavilipisha matendo yao.
19
Hapo ndipo, watakapoliogopa Jina la Bwana machweoni kwa jua, nako maawioni kwa jua watauogopa utukufu wake, kwani atakuja kama mto unaopita mahali pembamba, upepo wa Bwana ukiyasukuma maji yake.
20
Sioni ataingia atakayewakomboa wa Yakobo walioyaacha mapotovu; ndivyo, asemavyo Bwana.
21
Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Hili ni agano langu mimi, ninalolifanya nao: Roho yangu inayokukalia na maneno yangu, niliyoyatia kinywani mwako, hayataondoka kinywani mwako, wala vinywani mwao walio wa uzao wako, wala mwao walio uzao wa uzao wako, kuanzia sasa hata kale na kale; ndivyo, Bwana anavyosema.
← Chapter 58
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 60 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66