bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 21
Isaiah 21
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 22 →
1
Kama upepo wenye nguvu unavyovuma upande wa kusini, ndivyo, mambo yanavyotoka nyikani katika nchi inayoogopwa.
2
Nimefumbuliwa na kuonyeshwa yenye ugumu: mdanganyifu hudanganya, naye mwangamizaji huangamiza. Pandeni, Waelamu! Shambulieni, Wamedi! Hivyo nitawanyamazisha wote waliowapigia kite.
3
Kwa hiyo viuno vyangu vimeenea kukauka, uchungu ukanishika kama uchungu wa mwanamke azaaye, kizunguzungu kikanipata, nisisikie, nikastushwa, nisione.
4
Roho yangu ikazimia, mastuko yakanigundua; saa za jioni, nilizozipenda, zikawa za kunitetemesha.
5
Wao hutandika meza, huweka wangoja zamu, hula, hunywa. Mara wanaambiwa: Inukeni, wakuu! Zipakeni ngao mafuta!
6
Kwani ndivyo, Bwana alivyoniambia: Nenda, uweke mlinzi, akuambie, atakayoyaona!
7
Atakapoona kikosi cha watu waliopanda farasi, wakienda wawiliwawili, hata kikosi cha punda na kikosi cha ngamia, na aangalie sana kwa uangalifu mwingi.
8
Akaita na kupaza sauti kama simba kwamba: Bwana, hapa kilindoni mimi ninasimama mchana kutwa, nao usiku kucha nimewekwa mimi kungoja hapa kidunguni.
9
Sasa tazameni! Panakuja kikosi cha watu waliopanda farasi wakienda wawiliwawili! Kisha akasema: Umeanguka! Umeanguka mji wa Babeli! Navyo vinyago vyake vyote vya miungu yao amevivunja na kuvitupa chini.
10
Ninyi wenzangu mliopigwa, kama mpunga unavyopigwa penye kuupuria, niliyoyasikia kwa Bwana Mwenye vikosi, Mungu wa Isiraeli, nimewatangazia ninyi. Tamko zito la kuwaambia Waduma:
11
Toka Seiri wananiita kwamba: Mlinzi, saa ngapi sasa za usiku? Mlinzi, saa ngapi sasa za usiku?
12
Mlinzi akajibu: Ijapo mapema yaje, usiku utakuwa ungalipo. Kama mnataka kuuliza mengine, haya! Ulizeni! Tamko zito la kuwaambia Waarabu:
13
Sharti mlale kwenye mapori nyikani, ninyi watembezi wa Dedani!
14
Waliokufa kiu wapelekeeni maji, ninyi mkaao katika nchi ya Tema! Waliokimbia wagawieni vilaji vya kuwatunza!
15
Kwani wamezikimbia panga, zile panga walizochomolewa wao, wamezikimbia nazo pindi, walizovutiwa, hata uzito wote wa vita.
16
Kwani ndivyo, Bwana alivyoniambia: Ungaliko bado mwaka, kama miaka ya kibarua ilivyo, ndipo, utukufu wote wa Kedari utakapokuwa umekwisha.
17
Watakaosalia kwa wana wa Kedari walio wenye nguvu katika hesabu yao ya wavuta pindi watakuwa wachache, kwani Bwana Mungu wa Isiraeli amevisema.
← Chapter 20
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 22 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66