bible
ra
🌐 Language
English
Español
Français
Deutsch
Português
Italiano
Nederlands
Русский
中文
日本語
한국어
العربية
Türkçe
Tiếng Việt
ไทย
Indonesia
All Languages
Home
/
Swahili
/
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
/
Isaiah 13
Isaiah 13
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
← Chapter 12
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 14 →
1
Tamko zito la kuwaambia Wababeli, Yesaya, mwana wa Amosi, aliloliona:
2
Twekeni bendera mlimani juu kileleni palipokatwa miti! Walioko karibu wapalizieni sauti na kuwapungia mikono, waje kuingia malangoni mwenye wakuu wa nchi!
3
Wao waliojitakasia mimi nimewaagiza kuja huku, nikawaita nao walio mafundi wangu wa kupiga vita, wapige yowe na kujikuza wakiyatimiza makali yangu.
4
Makelele mengi mno yako milimani kama ni ya watu wengi, sauti za uvumi ziko za wafalme wanaokusanya watu wao. Bwana Mwenye vikosi anavitazama vikosi vyake vya kwenda vitani.
5
Wamekuja na kutoka nchi za mbali mapeoni kwa mbingu, yeye Bwana na vyombo vya machafuko yake vitakavyoziangamiza nchi zote.
6
Pigeni vilio! Kwani siku ya Bwana iko karibu; itakuja kama pigo la umeme, likitoka kwake Mwenyezi.
7
Kwa hiyo mikono yote italegea, nayo mioyo yote ya watu itayeyuka.
8
Vituko na masongano na maumivu yatawashika, wajipinde kama mzazi, watatumbulizana macho kwa kushangaa, nyuso zao zitawaiva kama ni zenye moto.
9
Tazameni: Siku ya Bwana inakuja, inaleta mastuko na makali na machafuko yenye moto, yaziangamize nchi, ziwe jangwa, kwa kuwamaliza wakosaji, wasikae.
10
Kwani nyota za mbinguni kama kilimia na wenziwe hazitaangaza mwanga wao, jua nalo litakapokucha litakuwa jeusi lenye giza, nao mwezi hautaumulikisha mwanga wake.
11
Nitayaumbua mabaya kwao wakaao nchini, nayo mapotovu yao kwao wasionicha, niyanyamazishe majivuno yao wajitutumuao, niwanyenyekeze wakorofi wajiwaziao kuwa wakuu.
12
Nitafanya, watu wawe wachache kuliko dhahabu, kweli wenye kufa watakuwa haba kuliko dhahabu ya Ofiri.
13
Kwa sababu hii nitazitikisa mbingu, nayo nchi itatenguliwa mahali pake kwa kutetemeka, makali ya Bwana Mwenye vikosi yatakapotokea, siku ya kuyaleta machafuko yake yenye moto itakapotimia.
14
Watakuwa kama paa akimbiaye kwa kustushwa au kama kondoo wakosao mchungaji; ndivyo, watakavyowageukia kila mtu wenziwe wa kwao, ndivyo, watakavyokimbilia kila mtu shamba lake.
15
Kwani kila atakayeonekana atachomwa, kila atakayekamatwa atauawa kwa upanga.
16
Nao watoto wao wachanga watapondwa machoni pao, nyumba zao zitatekwa, wanawake wao watatiwa soni.
17
Jueni, nitawaletea Wamedi wasiotaka fedha, wasiopendezwa na dhahabu.
18
Lakini pindi zao hupiga vijana, wafe; hata wenye mimba hawawaonei huruma, wala macho yao hayatazami watoto, waache kuwaua.
19
Kweli Babeli umekuwa urembo wa wafalme nao utukufu, Wakasidi waliojivunia, lakini Mungu atauangamiza, kama alivyoiangamiza miji ya Sodomu na ya Gomora.
20
Hautakaa kale na kale, wala havitatua humo vizazi na vizazi, Waarabu tu hawatapiga mle mahema yao, wala wachungaji hawatawapumzisha kondoo wao hapohapo.
21
Ila nyama wa porini watalala hapo, nyumba zao zitajaa mabundi, nao mbuni watalala huko, hata mashetani watachezacheza hapo.
22
Mbwa wa mwitu watalia majumbani mwao, nao mbweha katika nyumba zao zilizokuwa na furaha tu. Kweli mwisho wa mji huo uko karibu kutimia, siku zake hazitakawilia.
← Chapter 12
Jump to:
Chapter 1
Chapter 2
Chapter 3
Chapter 4
Chapter 5
Chapter 6
Chapter 7
Chapter 8
Chapter 9
Chapter 10
Chapter 11
Chapter 12
Chapter 13
Chapter 14
Chapter 15
Chapter 16
Chapter 17
Chapter 18
Chapter 19
Chapter 20
Chapter 21
Chapter 22
Chapter 23
Chapter 24
Chapter 25
Chapter 26
Chapter 27
Chapter 28
Chapter 29
Chapter 30
Chapter 31
Chapter 32
Chapter 33
Chapter 34
Chapter 35
Chapter 36
Chapter 37
Chapter 38
Chapter 39
Chapter 40
Chapter 41
Chapter 42
Chapter 43
Chapter 44
Chapter 45
Chapter 46
Chapter 47
Chapter 48
Chapter 49
Chapter 50
Chapter 51
Chapter 52
Chapter 53
Chapter 54
Chapter 55
Chapter 56
Chapter 57
Chapter 58
Chapter 59
Chapter 60
Chapter 61
Chapter 62
Chapter 63
Chapter 64
Chapter 65
Chapter 66
Chapter 14 →
All chapters:
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
41
42
43
44
45
46
47
48
49
50
51
52
53
54
55
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66